Arusha: Afisa Upelelezi (Omary Mahita) akamatwa kwa tuhuma za kumvunja Mguu raia

Yaani polisi kama taasisi wamekuwa hawaaminiki hadi kila mtu ana comment negative walahi dah!

Badala watu ku sifia hatua ya jeshi kumkamata ofisa wake kwa hilo kosa watu wote wana dauti uhalisia wa habari yenyewe.

Polisi mna la kujifunza sana yaani
Na wewe umeamini hilo mkuu?

Unafikiri huyo atalala lupango kama ambavyo ugelala wewe?
 
Yaani polisi kama taasisi wamekuwa hawaaminiki hadi kila mtu ana comment negative walahi dah!

Badala watu ku sifia hatua ya jeshi kumkamata ofisa wake kwa hilo kosa watu wote wana dauti uhalisia wa habari yenyewe.

Polisi mna la kujifunza sana yaani
Ndugu yako akikamatwa na Polisi na kurudi salama ni kushukuru Mungu.
Hawa watu sijui wanalishwa roho gani.
 
Bado ni afisa! Alitakiwa avuliwe cheo na asimamishwe kazi mpaka tuhuma zake zitakapokwisha.
 
Hii ya tuna fanya uchunguzi!!! tunafanya uchunguzi.!!
Ni ishara ya watu wenye utamaduni wa kutojiamini kwenye kufanya maamuzi.
Au ni namna ya kuhalalisha uovu uonekane halali, kwa kutuoa majibu ya uchunguzi miaka 3 ijayo.
wakati huo muathirika amekata tamaa ya kufuatilia madai yake.


Iko siku kutakua na ulazima wa kuunda tume ya kufuatilia uchunguzi unao chunguzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…