Na wewe umeamini hilo mkuu?Yaani polisi kama taasisi wamekuwa hawaaminiki hadi kila mtu ana comment negative walahi dah!
Badala watu ku sifia hatua ya jeshi kumkamata ofisa wake kwa hilo kosa watu wote wana dauti uhalisia wa habari yenyewe.
Polisi mna la kujifunza sana yaani
Niamini nna wazimu?Na wewe umeamini hilo mkuu?
Unafikiri huyo atalala lupango kama ambavyo ugelala wewe?
Huyu ni kijana wa Mstaafu Mahita nini?
Yao alitesa watysana pale centralHuyu ni kijana wa Mstaafu Mahita nini?
Hapo umesema ukweli!Baba yake alikuwa polisi jambazi enzi zile za kuteka bank na kuuwa
Ndugu yako akikamatwa na Polisi na kurudi salama ni kushukuru Mungu.Yaani polisi kama taasisi wamekuwa hawaaminiki hadi kila mtu ana comment negative walahi dah!
Badala watu ku sifia hatua ya jeshi kumkamata ofisa wake kwa hilo kosa watu wote wana dauti uhalisia wa habari yenyewe.
Polisi mna la kujifunza sana yaani
Hii hapa Mfahamu Omari Mahita Omari, Mtoto wa IGP mstaafu aliyehenyeshwa Mahakamani na Mawakili wa MboweAliaibika kesi moja loh
Yah thx mkuu sitaki kukumbuka maana aliulizwa na anachojibu shabaraha
Nouma sanaYah thx mkuu sitaki kukumbuka maana aliulizwa na anachojibu shabaraha
Akassafishwe nyota imemkimbiaNouma sana
Bado ni afisa! Alitakiwa avuliwe cheo na asimamishwe kazi mpaka tuhuma zake zitakapokwisha.Afisa Upelelezi Wilaya ya Arusha Mjini, Omary Mahita anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mtuhumiwa wakati wa mahojiano akiwa kituo cha polisi.
Askari huyo anatuhumiwa kumvunja mguu wa kushoto Peter Charles (21), mkazi wa Daraja II, jijini Arusha Juni 6, 2024.
Akizungumzia tukio hilo leo Alhamisi Agosti 15, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema wanamshikilia ofisa huyo wa polsi na kwamba uchunguzi umeshaanza na endapo atabainika kuwa na kosa, atachukuliwa hatua za kisheria.
"Ni kweli hilo tukio liko ofisini kwangu na tumeanza uchunguzi tangu Agosti 8, 2024 nilipopata taarifa kwa simu kutoka kwa ndugu wa huyo kijana akimtuhumu askari wangu kumpiga hadi kumvunja mguu,β amesema Masejo alipozungumza na Mwananchi.
Mwananchi
Sahv yenyewe afya yake haiko sawa kivile..Baba yake alikuwa polisi jambazi enzi zile za kuteka bank na kuuwa
Taarifa hii inachanganya kidogo. Naomba kueleweshwa. Afisa upelelezi kwa jina Omary Mahita ni yupi na yule IGP mstaafu Omary Mahita ni yupi. Asante.Huyu ni kijana wa Mstaafu Mahita nini?
Hii ya tuna fanya uchunguzi!!! tunafanya uchunguzi.!!"Ni kweli hilo tukio liko ofisini kwangu na tumeanza uchunguzi tangu Agosti 8, 2024 nilipopata taarifa kwa simu kutoka kwa ndugu wa huyo kijana akimtuhumu askari wangu kumpiga hadi kumvunja mguu,β amesema Masejo alipozungumza na Mwananchi.
Mwananchi