The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Na wewe umeamini hilo mkuu?Yaani polisi kama taasisi wamekuwa hawaaminiki hadi kila mtu ana comment negative walahi dah!
Badala watu ku sifia hatua ya jeshi kumkamata ofisa wake kwa hilo kosa watu wote wana dauti uhalisia wa habari yenyewe.
Polisi mna la kujifunza sana yaani
Unafikiri huyo atalala lupango kama ambavyo ugelala wewe?