OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Kwa nini haya hayakufanyika kabla ya kuhama?Hayo ni matatizo yake binafsi, msiyaunganishe na siasa. Katumuliwa alikopanga sababu halipi kodi ya pango, waumini wamemkimbia sababu anawakopa sana pesa.
Ndicho anachostahili.