Arusha: Ally Bananga arudi CCM kwenye mkutano wa Rais Samia Suluhu

Kwanini nyie hamkumfukuza badala yake mliendelea kumkumbatia wakati mnajua ni mamluki?

Chadema mnaishi kwa stress sana. Hamia tu ccm mkuu huku raha tupu

[emoji23][emoji23][emoji23]
Polepole anakuangalia na kukusonya tu, Bashiru ndio anakushangaa kabisa, Kalemani anapigwa bumbuwazi.
 
Poleni Chadema mmepoteza mlipia kadi ya uanachama.
 
Kamfuata mkewe.
 
Mwenye Ile picha ya Ally Bananga akiwa CCM please
 
Jamani sitaki tena kumwamini mwanasiasa yeyote! Kila mtu aamue ki-vyake! Litakuwa linanyemelea uteyuzi! Liwaache akina johnthebaptist wanang'aa sharubu tu!
Ni kweli Shonga ni mbaya ukiindekeza. Na Muheshimiwa ameahidi kumtumia. Hata hivyo anao uhuru kwa kufuata atakayo mradi havunji sheria. Wafuasi mna la kujifunza.
 
Jamani sitaki tena kumwamini mwanasiasa yeyote! Kila mtu aamue ki-vyake! Litakuwa linanyemelea uteyuzi! Liwaache akina johnthebaptist wanang'aa sharubu tu!
Inamaana umemuona bwashee pekee kua ndo ang'aa sharubu 🤣🤣🤣🤣
 
Halafu kuna mtu kaanzisha uzi akiwashauri chadema wawasamehe covid19. Haya ndiyo majibu yake kuwa wale covid19 (akiwepo mke wa bananga) wakokwa kivuli cha ccm
Mke wa John Mrema pia ni Covid-19, una lipi la kusema katika hilo?
 
Sema afuata mke ccm
 
Usimuwekee dhamana mwanasiasa 😂😂😂

Kawaida hiyoo

Ova
 
CHADEMA ilishakosa dira haina hoja wala malengo. Safi Sana Kwa mziki wa Mama mpaka Mbowe atarudi tuuu
 
Hana tofauti na kigogo wamepishana na daftari la manunuzi.
Kuunga juhudi kulilipa zama za jiwe,
Angalau mange alichangamkia fursa ya kula hela za jiwe.
 
Jamaa Fundi sana jukwaani ana jua sana kucheza na ulimi
Amzidi Tambwe akaishia.
2025 upinzani watachukua majimbo mengi sana sababu aliyetaka kuuwa upinzani alishakufa ccm haina jasiri mwenye roho ngumu tena kama ya jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…