Arusha, amuua kaka yake kwa kisu baba yake akishuhudia

This is sad
 
Uache uongo!

Usikute kesi yenyewe ikawa "manslaughter" na ukizingatia ni mtoto, hakuna hukumu.

Kama hujui Criminal Laws just be quiet. Tukuelimishe!
Unaweza kaa mahabusu miaka hadi 3 na ukafungwa gerezan hadi miaka 5 piga hesabu hapo
 
Uchi wa mnyama au vimini, au ulienda beach, sema usodoma na ushoga vimetia fola
 
Ila hii nchi bana
Yan haya mauaji kuna watu wanalaumu serikali [emoji23][emoji23]
Sasa sijui jukumu letu kama jamii kwenye hii nchi ni ipi
Ilo tu?hata swala la matengezo ya umeme wana laumu.
 
Hii roho ya mauaji Mungu atunusuru nayo

Shetani ameamua kututumia na atutumie tena
Roho ya mauaji muasisi wake ni baba yenu jiwe, aliunda kikosi cha wasiojulikana na kurasimisha mauaji ya wananchi. Mwenyezi Mungu atajua namna ya KUSHUGHULIKA naye huko aliko.
 
haiwezekani kabisa Mimi niswage huku unauza ng'ombe na ukiuza unakula na wanao baba ukiambiwa eti mkubwa ,mkubwa kwake na familia yake .........una umri miaka 45 au 47 bado unatamani kupigana na mtu miaka 20 na huna mazoezi yakutosha !

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Taifa limemuacha Mungu limegeukia Uchifu...
kutoka kupiga goti kanisani, kanzu msikitini mpaka ngozi za chui...
Mambo ya Mizimu na makafara...
Kifupi tunavuna tulichopanda na tujiandae kwa Mengi zaidi....
Maandiko yanasem kila wana wa izrael walipoanza kuabudi sanamu Mungu aliwaacha wakapokea kichapo na kuchukuliwa utumwani ila kila walipomlilia aliwasikia akawanusuru.
 
Hao ukute hata dini hawajui
 
Mauwaji ya Arusha yananikumbusha yale ya mwishini mwa December, 2021 ambapo mama Jane Rose Dewasi aliuwawa pale Njiro Arusha. Hadi sasa ndugu wa marehemu wanataka kujua polisi wamefikia wapi kuhusu upelelezi kwa kuwa serikali ya mtaa haijui lolote na haijapata mrejesho toka polisi.
 
Ifike mahali raisi samia aanzishe wizara ya Mauaji

This is too much[emoji3525]
 
Roho ya mauaji muasisi wake ni baba yenu jiwe, aliunda kikosi cha wasiojulikana na kurasimisha mauaji ya wananchi. Mwenyezi Mungu atajua namna ya KUSHUGHULIKA naye huko aliko.

Unatia huruma sana. Pole mwaya😂
 
Unatia huruma sana. Pole mwaya😂
Familia ya Ben Saanane, Azory Gwanda na wengineo waliopotezwa na mwendazake wanakushangaa sana kwa kicheko chako rafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…