ARUSHA: Askari Polisi 7 waliombambikia pembe za ndovu Prof. Justin Maeda na kuchukua milioni 100 wafukuzwa kazi, Profesa afunguka

Diktetea alikuwa anafuga majambazi sn
 
Malisa ni masikini ambae anahisi umasikini wake umesababishwa na Sabaya

Sabaya ni Jambazi ,alitaka kumuua Malisa GJ.....Jambazi alitoki tena kuna kesi 7 mafaili yanaandaliwa aingizwe kwenye 18 bado za ubakaji sema hizi za ubakaji hazina ushahidi wa moja kwa moja labda watumie busara ya kuwasikiliza wabakaji na kuyafanyia kazi malalamiko yao maana waliobakwa ni zaidi ya mademu 44.
 
Viongozi wote wa ccm waliokuwepo pamoja na Magufuli makao makuu wakamatwe
 
Kwa maovu ya Sabaya ni hakika alikuwa analindwa Sana na Baba take. Babaha wezi kupanda maharage avune mahindi. Hayo ndiyo maharage yake. Chomwa milele.
Siyo kwamba alikuwa analindwa Ila aliujua udhaifu wa boss wake ni kugombana na wapinzani na kumsifia boss kinafiki na boss anafarikika na kutulia na yeye anatenda mambo yake bila buguza, ukiwa kiongozi wa kitu chochote unatakiwa uwakemee wale wanaokusifiasifia maana badala ya kusifiwa wanatakiwa wakuonyeshe wanafanya nini kulingana na kazi ulizowapangia Ili isiwe ngumu kwako kuongoza hata uchaguzi nguvu kubwa ilitumika kujinadi kwasababu ya watu kama Sabaya.
 
Dogo anakwenda kufia jela....sioni namna ya kuchomoka kwenye hizi tuhuma nzito namna hii... huu ni Ujambazi kabisa.
 
OCD na OC CID
Askari Polisi saba wakiwemo watano wa kituo cha Polisi Usa Wilayani Arumeru Mkoani Arusha na wawili wa Kituo Kikuu cha Polisi Arusha wamefukuzwa kazi kwa fedheha kwa kosa la kushawishi na kuomba rushwa ya shilingi milioni 100...
OCD na OC CID wa kituo Cha polisi USA river Arusha,walihusika 100%, tunaomba wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi.
 
.
 

Kwa hakika mwendazake alikuwa kiongozi mzigo!
 
Ukute hawa nao ni mpango wa Sabaya kwa kushirikiana na mwendazake.
 
Sabaya anazidi kuaibika.
Wasiishie hapo na waliokuwa wakimpa silaha nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…