Huyu Mzee namfahamu
TujikumbusheSabaya anazidi kuaibika.
Wasiishie hapo na waliokuwa wakimpa silaha nao
In short, kituo cha polisi Usa River Arusha, kinamuaibisha IGP. Nitashangaa sana kama viongozi wa hao hawatawajibishwa.
Mkuu ref ni muhimu sanaMadhara ya kuwapeleka Depo watu wasio na maadili ndiyo haya sasa.
Mkuu Kaingia kwenye Kokolo la KIBATALAAskari mmojawapo yupo kwenye kesi ya mbowe kama shahidi upande wa Jamhuri
Very interesting MkuuAskari mwenyewe ndio TAPELI na kufukuzwa kazi kwa kutokuwa na maadili na Jambazi wake SABAYA ndiyo anayeenda kutoa Ushahidi??
Huyu askari ni afande Jumanne, sijui kama ataapishwa mahakamani maana alikula kiapo cha uaskari lakini kakivunja! Je, mahakama itamuamini kwenye hiki kiapo cha muda mfupi? Nadhani akina Kibatala watapinga kuapishwa kwake.Askari mmojawapo yupo kwenye kesi ya mbowe kama shahidi upande wa Jamhuri
AiseehHuyu askari ni afande Jumanne, sijui kama ataapishwa mahakamani maana alikula kiapo cha uaskari lalini kakivunja! Je, mahakama itamuamini kwenye hiki kiapo cha muda mfupi? Nadhani akina kibatala watapinga kuapishwa kwake.
Askari mwenyewe ndio TAPELI na kufukuzwa kazi kwa kutokuwa na maadili na Jambazi wake SABAYA ndiyo anayeenda kutoa Ushahidi??
.Ndio maaana kesi ya mbowe kibatala amesema afande jumaanne kaachishwa kazi kumbe ndio yupo kwenye msala huu
Ndo maana wakina Kibatala wamekomaa na hii kesi...Hivi hizi taarifa huwa ni kweli ?
Isijekuwa zuga fulani tu hivi wananchi wajue hatua kali zimechukuliwa kumbe ndio hivyo.
HatareeBora 17/3 tulifika pabaya Sana walijifunza toka kwa mporaji mkuu.
Inatakiwa wananchi wote waliopigwa pesa zao kwenye akaunti wafungue kesi wazistaki bank kisha bank ziwashtaki waporaji waporaji wafilisiwe si wanajulikana maaana waliamini mungu wao atokufa.
Ushahidi wa camera kwenye bureau de change si waporaji wanaonekana.
Hii ni kagame staili mwendazake alijifunzia kule
Kama waliweza kuweka pembe za ndovu kwenye mzinga ili wapige hela ya mstaafu watashidwa kutengeneza kesi kuwafurahisha mabossHuyu askari ni afande Jumanne, sijui kama ataapishwa mahakamani maana alikula kiapo cha uaskari lalini kakivunja! Je, mahakama itamuamini kwenye hiki kiapo cha muda mfupi? Nadhani akina kibatala watapinga kuapishwa kwake.
Ilikuwa ni Awamu ya Zuluma