Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Ushahidi ndio shida mzee hawa jamaa kama wali master mind hio plan lazima hawakuacha ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ya hela hii itaisha kiRostam Rostam mkuuUshahidi ndio shida mzee hawa jamaa kama wali master mind hio plan lazima hawakuacha ushahidi
huo ni unafiki au unachuki biafsi na hao uliowataja sasa waliotenda kosa wamefukuzwa kazi hao wengine wa nini wewe? kesi ikiunguruma ndiyo kama nao wanahusika watatajwa yaani waache kazikwa kosa gani wakati wamefanya kazi kuwatoa hao wahalifu? acha chuki za kike hizo kama mnagombea bwanaNimefuatilia kwa karibu sana tukio la unyanyasaji na ujambazi aliofanyiwa na polis wa kituo cha polis Usa River kule Arusha, Prof Maeda la million 100, nikagundua, kuwa pamoja na polisi 7 kufukuzwa kazi hado hadi leo OCD na OC CID,na mkuu wa kituo cha polisi Usa River, wapi kazini na wanaendelea kuchapa kazi kama kawaida na IGP amepiga kimya kama kawaida yake. Ninashauri nilio wataja waunganishwe na hao askari 7 na kufikishwa mahakamani haraka na mapema iwezekanavyo.
Nimefuatilia kwa karibu sana tukio la unyanyasaji na ujambazi aliofanyiwa na polis wa kituo cha polis Usa River kule Arusha, Prof Maeda la million 100, nikagundua, kuwa pamoja na polisi 7 kufukuzwa kazi hado hadi leo OCD na OC CID,na mkuu wa kituo cha polisi Usa River, wapi kazini na wanaendelea kuchapa kazi kama kawaida na IGP amepiga kimya kama kawaida yake. Ninashauri nilio wataja waunganishwe na hao askari 7 na kufikishwa mahakamani haraka na mapema iwezekanavyo.
Kugawana milioni 100 kwenye kituo cha polisi bila OCD , OC CID na mkuu wa kituo kuhusishwa ni miujiza kwa kituo cha polisi Usa River Arusha. Pia kuendelea na kazi ni kutanya kazi ya uchunguzi kuwa ngumu na kufichwa kwa ukweli.huo ni unafiki au unachuki biafsi na hao uliowataja sasa waliotenda kosa wamefukuzwa kazi hao wengine wa nini wewe? kesi ikiunguruma ndiyo kama nao wanahusika watatajwa yaani waache kazikwa kosa gani wakati wamefanya kazi kuwatoa hao wahalifu? acha chuki za kike hizo kama mnagombea bwana
Ni mara chache sana polisi wadogo wajihusishe na tukio kubwa kiasi hiki bila wakubwa kushirikihuo ni unafiki au unachuki biafsi na hao uliowataja sasa waliotenda kosa wamefukuzwa kazi hao wengine wa nini wewe? kesi ikiunguruma ndiyo kama nao wanahusika watatajwa yaani waache kazikwa kosa gani wakati wamefanya kazi kuwatoa hao wahalifu? acha chuki za kike hizo kama mnagombea bwana
siyo kweli huo ni unafiki wako tu hebu ficha aibu ya chuki zako kwa hao watu mtu anaweza kupiga dili mkama hiyo hata pekeyake itakuwa watu saba? kesi tayariishaingia kwenye upelelezi kwanini usiache wafanye upelelezi kama wamowata julikana wewe unalazimisha waache kazi au walikupigia mkewako ndiyo maana unachuki nao?Kugawana milioni 100 kwenye kituo cha polisi bila OCD , OC CID na mkuu wa kituo kuhusishwa ni miujiza kwa kituo cha polisi Usa River Arusha. Pia kuendelea na kazi ni kutanya kazi ya uchunguzi kuwa ngumu na kufichwa kwa ukweli.
In short, kituo cha polisi Usa River Arusha, kinamuaibisha IGP. Nitashangaa sana kama viongozi wa hao hawatawajibishwa.siyo kweli huo ni unafiki wako tu hebu ficha aibu ya chuki zako kwa hao watu mtu anaweza kupiga dili mkama hiyo hata pekeyake itakuwa watu saba? kesi tayariishaingia kwenye upelelezi kwanini usiache wafanye upelelezi kama wamowata julikana wewe unalazimisha waache kazi au walikupigia mkewako ndiyo maana unachuki nao?
Ukiona hivyo labda Mzee anakula na baadhi ya wakubwa wa vyombo vya ulinzi na Usalama! Sasa vyuma vimeuumana!!...Nimvekwazika kidogo hapo Mkuu. Kama huyu Profesa naye alikuwa ni Msafi na hana Mazonge zonge yoyote, kwa nini alitaka kuwapa hao makalamba hela yote hiyo wakati moyomi ansjua yupo safi na hana kosa lolote?
Inafikirisha. [emoji848][emoji848]
Kwa kweli inauma sana! Alafu siku hizi ukienda kituo cha police kutoa malalamiko yako,eti wanakwita mteja wao!! Maana matatizo yako kwao ndiyo fursa ya kupunguza ukali wa Maisha kwao!!Katika wizara zote wizara ya mambo ya ndani na genge lake la polisi wanahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa aisee
Polisi wengi ni mijizi mikubwa,walafi,njaa njaa,na wapenda rushwa wakubwa Nina ushahidi juu ya Hilo kabisaaaa hii mijitu inawalinda wahalifu na kuwapa case innocent people!
Huyu ndiye Gwajiboy alimzungumzia?
View attachment 1765503
Tafuta CV ya Prof.J. Maeda. Utagundua ulichoandika umepoteza muda.Huyo Prof. naye TAKUKURU wamfungulie mashitaka kwa kushawishi kutoa rushwa(Corruption transaction) kama alikuwa hausika kwanini aogope kufikishwa mahakamani ili mahakama itoe maamuzi kama alibambikiwa kesi au la...
Na Kama kweli alikua hajawai katika Maisha yake Kuambiwa kakutwa na meno ya Tembo,kwa umri wake ule kwanza angendondoka kwa mshutuko na wala asingekua na nguvu ya kuzunguka ma bank yote kutoa pesa kwa ku force!!HV kwel utoe million Mia kwa Jambo ujalifanya kabsa nadhani huyu prof kuna jambo
Hao polisi na huyo mzee wanajuana ndo maana. Nina amini huyo mzee sio msafi.nchi hii ni zaidi ya uijuavyo mkuu.
hapa tuko na polisi kwa ujinga wao,ila mzee tumemsahau kabisa.