stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ndio hivyo akishikwa na njaa ndio pa kukamatwa Ila kuna jamaa alisimulia humu kua kuna sehemu uko mipakani ndio hua jamaa waharifu hua wakakimbilia mara nyingiNjaa zinamtoa mtu pangoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo akishikwa na njaa ndio pa kukamatwa Ila kuna jamaa alisimulia humu kua kuna sehemu uko mipakani ndio hua jamaa waharifu hua wakakimbilia mara nyingiNjaa zinamtoa mtu pangoni
round ya kwanza jamaa anaachia paste nzima inayojaza chupa ya soda kwenye utumbo mpanaMaana akiingie kule wazee manyapara wanaupwiru wa siku nyingi amekuja mwali mpya 🤣
Mkononi apo bro 😁😁Ana tattoo wapi kwenye tako sehemu nyeti ?
😆😆😆 Noma sio kidogo lazima akome kutoboa watu na bisibisi na kung'oa watu meno na praiziround ya kwanza jamaa anaachia paste nzima inayojaza chupa ya soda kwenye utumbo mpana
Ngoja nijaribu kuzoom tena Ila Jicho alivyomtoboa daah linanitisha aseeMkononi apo bro 😁😁
majuto siku zote ni mjukuu😆😆😆 Noma sio kidogo lazima akome kutoboa watu na bisibisi na kung'oa watu meno na praizi
Achana na sisi. Kazingua mmoja unahukumu race nzima?Wanaume wana roho mbaya sana
Yaan ana pumzi fupi labda aamue kujimaliza tu mwenyewe,majuto siku zote ni mjukuu
najua kakimbia na savings kadhaa, zikiisha anadakwa chap
au aje Lindi huku, kijiji cha Mbwemkuru, Kilwa , atanishukuruYaan ana pumzi fupi labda aamue kujimaliza tu mwenyewe,
Hapana angalia vizuri Samaki mmoja kaoza sio wote wameoza,Wanaume wana roho mbaya sana
Niliambiwa kuna maeneo pembezoni mwa Nchi huko hakuna polisi anaeweza kukanyaga kwanza hakuna vituo vya polisi ni wavuvi tu ndio wamejaa hukoau aje Lindi huku, kijiji cha Mbwemkuru, Kilwa , atanishukuru
Inafikirisha sana Ila kuna maelezo hayajajitosheleza kuna kitu bado kimejificha jamaa anaweza akawa na maelezo mengine yatakayo waacha watu midomo wazi ngoja akamatwe aje kusema ukweliHivi mpaka unang'olewa jino kwa prize hupo tu umeachama au alikuwa amelewa chakali? Siamini.
moja wapo kusini, nilishawahi muona jamaa alifanya soo miaka ya nyuma KinondoniNiliambiwa kuna maeneo pembezoni mwa Nchi huko hakuna polisi anaeweza kukanyaga kwanza hakuna vituo vya polisi ni wavuvi tu ndio wamejaa huko
Ni kweli kuna kitu, meno yatakuwa yalitoka kwa kipigo na sio prize, jicho alitwangwa ngumi au kitu kizito lkn sio kutoboa.Inafikirisha sana Ila kuna maelezo hayajajitosheleza kuna kitu bado kimejificha jamaa anaweza akawa na maelezo mengine yatakayo waacha watu midomo wazi ngoja akamatwe aje kusema ukweli
naongelea mke, siyo watoto
endelea kutetea ujinganawewe pengine ni baba wa mtu, kizazi chako kimekula hasara sana