dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
ajali kazini, jamaa ananyia debeKwa hio sasa ikawaje baada ya hapo ? Nini kilitokea ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ajali kazini, jamaa ananyia debeKwa hio sasa ikawaje baada ya hapo ? Nini kilitokea ?
Ametoroka anatafutwaajali kazini, jamaa ananyia debe
naongelea mke, siyo watotona kosa la watoto ni nini? Acha akifie jela tu huyo mpuuzi
nimesoma heading tu, na kuangalia picha, content sijasomaAmetoroka anatafutwa
Walitangaza ITV kua katorokanimesoma heading tu, na kuangalia picha, content sijasoma
Kwaio anaenda kukutana na Nondo Mwam-NYETOajali kazini, jamaa ananyia debe
Kakimbilia wapi tena ?Walitangaza ITV kua katoroka
nasikia katorokaKwaio anaenda kukutana na Nondo Mwam-NYETO
Ana tattoo wapi kwenye tako sehemu nyeti ?Demu ana tattoo. Nipo nasimama na Mnyagi.
Haijulikani anatafutwaKakimbilia wapi tena ?
Kwa hio wahuni kule selo watamshangilia mwali mwali mwali 😆nasikia katoroka
uko alipo apige tizi la kukalia tango ili akidakwa akienda lupango awe mzoefu kidogo
Leo siku ya ngapi tangu akimbie isije ikawa kaenda kujifukia maana huu msala akidakwa hachomokiHaijulikani anatafutwa
Ya piliLeo siku ya ngapi tangu akimbie isije ikawa kaenda kujifukia maana huu msala akidakwa hachomoki
aanzie na karoti then tango uko mafichoni alipoKwa hio wahuni kule selo watamshangilia mwali mwali mwali 😆
Basi siku zinahesabika atadakwa tu huyoYa pili
Maana akiingie kule wazee manyapara wanaupwiru wa siku nyingi amekuja mwali mpya 🤣aanzie na karoti then tango uko mafichoni alipo
Njaa zinamtoa mtu pangoniBasi siku zinahesabika atadakwa tu huyo
Hakika uko tunapoelekea Ila masingle mother watakua wengi km ikiwa hivyoItafika kipindi watu wataogopa kuozesha watoto wao