Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Du! Kwanini wasingempigia kwanza Huyo mjomba aliyekuwa nae mchana?

Je mume alikurupuka au kuna ukweli? maana mtu anang'olewa jino kwa pliers,kutobolewa jicho ni hatari aisee

hata kama kuna ukweli mamlka ya kufanya aliyoyafanya ameyapata wapi? hii nchi watu wamkuwa kama wanyama pori
 
Huyu mwanamke siyo mara ya kwanza kupigwa, amekuwa akipigwa siku za nyuma.
Wanawake wengi wanavumilia kupigwa kwenye ndoa, sababu ya watoto na jamii itamuonaje akitoka kwenye hiyo ndoa.

Wengi huishia kupata ulemavu, kuuwawa. Ukishaona vipigo jua iko siku utarudi kwenu na ulemavu, ama maiti. Niwewe tu kuchagua kati ya hayo.
 
Hivi kama unaona mtoto wa mtu kakushinda si unapiga tu chini Kuna haja Gani ya kumzuru mtu Yani Mimi nikiona magumashi unapita hivi sinaga story nyingi ...wanaume wenzangu tujitahidi kuwa na mioyo ya kiume Hawa viumbe hakuna haja ya kuwazuru piga chini then tafuta pesa Kwa juhudu zote .
 
Walimu tuna stress za maisha hatutaki utani,unacheza na chaki huko afu mwanamke hasomeki.Kazini jau ukija nyumbani jau,haya yote yanaepukika kwa talaka ya amani.Kupiga utaenda jela na wengine tunachukua mkeo
 
Wanawake wamepewa roho ngumu sana ya uvumilivu, waweza kukuta akipona hapo analitaka jamaa tena.
 
Naona wengi wanasema hawajui chanzo mara ooh story ya upande mmoja. Hivi vuta picha ni binti yako wa kumzaa ndio anafanyiwa hivyo na mumewe!? Utaelezwa lugha gani ili uelewe somo. Acheni kujifanya mna haki na maisha ya watu, sababu na uhakika hata huyo baba huko alikokuwa miezi mitatu hakuwa mtakatifu sasa ya nini kumhukumu mwenzio.
 
Hawa wanawake usipende kuwatetea 100% sometime wanazingua wazi wawzi
Mwanaume kama hutoi matumiz kwa mwanamke kifupi lazima upigiwe 2 hata kama ni mkeo wa ndoa.
Hii haijaandikwa popote ila uhalisia ndiyo huo.

Jamaa ni fala tu, mwanaume unampiga mwanamke na hela usoni afu uone kama atatoa ngongoti zake kusaka mwanaume mwingine.
 
Mwanaume kama hutoi matumiz kwa mwanamke kifupi lazima upigiwe 2 hata kama ni mkeo wa ndoa.
Hii haijaandikwa popote ila uhalisia ndiyo huo.

Jamaa ni fala tu, mwanaume unampiga mwanamke na hela usoni afu uone kama atatoa ngongoti zake kusaka mwanaume mwingine.
Ndio ukikamatwa madhara yake hayo
 
tetea ujinga
demu ana tatuu, unategemea nini ?
demu akiwa na tatuu ni malaya, ukweli mchungu

sasa huyo jamaa yeye hakuliona hilo tatuu kabla hajamuoa? Sasa hapo kosa ni la nani? umeamua kutafuta malaya uoe halafu unajifanya umevurugwa
 
sasa huyo jamaa yeye hakuliona hilo tatuu kabla hajamuoa? Sasa hapo kosa ni la nani? umeamua kutafuta malaya uoe halafu unajifanya umevurugwa
endelea kutetea ujinga, jamaa kamuwahi kabla hajawahiwa
kosa ni la huyo bibie kuchepuka ndoani
 
Back
Top Bottom