Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Ndio hivyo akishikwa na njaa ndio pa kukamatwa Ila kuna jamaa alisimulia humu kua kuna sehemu uko mipakani ndio hua jamaa waharifu hua wakakimbilia mara nyingi
Huko mipakani msosi atapewa na nani,aheri ushibie jela,njaa inatesa hatari.Labda aende kwa ndugu wa mbali wamhifadhi.Ila nawaza kazini kule Rombo itakuaje? Je hatafukuzwa kazi?
 
moja wapo kusini, nilishawahi muona jamaa alifanya soo miaka ya nyuma Kinondoni
nikamkuta Nyangao ndani ndani huko Mahiwa, jamaa midevu kibao
Yes maeneo hayo hayo km unaelekea Msumbuji au mpakani mpakani huko polisi hua hawakanyagi,
 
Kuishi na mtu mliekutana ukubwani inahitaji moyo wa chuma,kama sio uvumilivu na kusameheana utaishi dingo mpaka ufe
Ndio inabidi uwe na moyo wa uvumilivu sana kinyume na hapo utazua taharuki kwa Jamii kwa tukio utakalolifanya watu hawatoamini km ni wewe ndie uliefanya hivyo,
 
Huko mipakani msosi atapewa na nani,aheri ushibie jela,njaa inatesa hatari.Labda aende kwa ndugu wa mbali wamhifadhi.Ila nawaza kazini kule Rombo itakuaje? Je hatafukuzwa kazi?
Kuna wavuvi mkuu pembezoni humo mwa Bahari ya Hindi, kazi ndio kwakheri huyo anaanza ukurasa mpya km mharifu na mtu aliefanya shambulio la mwili na kutishia kuua yaan hapo ana mashtaka km 10 hivi kwa haraka haraka itategemea na maelezo ya mwanamke yamesemaje Ila ana mashtaka 10 ya haraka haraka na katika hayo 10 Basi 5 hachomoki maana alishajivuruga alipowaambia wazazi wa mwanamke nendeni muchukue mzoga wenu hapo getini
 

Tunatofautiana, Mi ni baba na nimejaliwa watoto jinsia zote ila wanangu hata wakiuliwa ni wao since sitegemei watoto kwenye maisha yangu, na nishaga wambia kilakitu kuhusu mambo ya mahusiano tena kama uyu wakike anavyolelewa ovyo na mama ake sijui kama atawezana na mahusiano ila siku akinimbia amepata mchumba mimi sikatai natoa baraka, so akienda akapigwa visu na kutolewa meno iyo ni juu yake maana kachagua mwenyewe, mimi nitamuuliza tu unaendelea au umemaliza, akisema anaendelea na mwambia safari njema na dua namwombea.
 
Itafika kipindi watu wataogopa kuozesha watoto wao

Sasa wang’ang’anie waje wapigiwe mimba nyuma ya nyumba yako kama paka, watoto wakikua sio wako tena ni wadunia we waambie ukweli wako na ushauri so atayefata afate asiefata mwache apate exposure na experience ya maisha na awe mfano kwa wenzake.
 
Huyo mbwa bado hajawekwa nyuma ya nondo,Wanawake wenzangu ukiona Mpenzi wako anakupiga kofi jua iko siku atakuja kukuvunja meno endeleeni kuvumilia [emoji51]
Mimi baba angu akiozesha anamuita mkwe na wazazi wake anamuambia hivi"Binti hapigwi Mimi watoto wangu nawaelekeza wanaelewa siwapigi pia"akikushinda mrudishe Kwa wema Bora talaka kuliko jeneza au ulemavu wa kudumu"anamaliza hapo Mzee wangu nampenda Sana
Na hakuna mapenzi kwenye kupigana Ndoa ni huruma na mapenzi...
 
Wanaume tunakwama wapi jamani!? Mbona maisha matamu hata mkitengana!?kwann umuumize mzazi mwenzio!? Mkishindwana achana nae!? Wazuri wapo jamani!! Daaah
 
Huyi bwana ni mshenzi!
 
Inafikirisha sana Ila kuna maelezo hayajajitosheleza kuna kitu bado kimejificha jamaa anaweza akawa na maelezo mengine yatakayo waacha watu midomo wazi ngoja akamatwe aje kusema ukweli
Alivyosema ni kwamba: alipigwa ngumi nyingi kwanza hadi nusu kuzimia, ndio mengine yakaendelea
 
Kabisa kabisa kumpiga mwanaumee yeyote mpigaji mi nasemaga ni chiziii ana afya ya akili
Ni uchizi kweli wala sio uzima na sio tu Mwanamke hata kumpiga mtoto hua nasema naonekana mbaya juzi kati huko huko Arusha Baba kampiga mtoto wake wa darasa la kwanza kipigo kama cha mwizi wa kariakoo hadi kamuharibu sehemu za siri, yaan mtoto mdogo kaumuka uso hadi anatisha, Mwanaume mzima na misuli imemkomaa ya mikono anapiga mtoto kama unaua nyoka au anapiga Mwanamke kama anakanda unga wa Maandazi akili zitoke wapi hapo kama sio ukichaa kasoro kuvua nguo.
 
HV mtu unatembee had na mjomba wako huu umalaya ni wa wapi bila shaka hawa Ni wanyaturu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…