Huko mipakani msosi atapewa na nani,aheri ushibie jela,njaa inatesa hatari.Labda aende kwa ndugu wa mbali wamhifadhi.Ila nawaza kazini kule Rombo itakuaje? Je hatafukuzwa kazi?Ndio hivyo akishikwa na njaa ndio pa kukamatwa Ila kuna jamaa alisimulia humu kua kuna sehemu uko mipakani ndio hua jamaa waharifu hua wakakimbilia mara nyingi
Singo I meanKuishi na mtu mliekutana ukubwani inahitaji moyo wa chuma,kama sio uvumilivu na kusameheana utaishi dingo mpaka ufe
Yes maeneo hayo hayo km unaelekea Msumbuji au mpakani mpakani huko polisi hua hawakanyagi,moja wapo kusini, nilishawahi muona jamaa alifanya soo miaka ya nyuma Kinondoni
nikamkuta Nyangao ndani ndani huko Mahiwa, jamaa midevu kibao
Ndio inabidi uwe na moyo wa uvumilivu sana kinyume na hapo utazua taharuki kwa Jamii kwa tukio utakalolifanya watu hawatoamini km ni wewe ndie uliefanya hivyo,Kuishi na mtu mliekutana ukubwani inahitaji moyo wa chuma,kama sio uvumilivu na kusameheana utaishi dingo mpaka ufe
Kuna wavuvi mkuu pembezoni humo mwa Bahari ya Hindi, kazi ndio kwakheri huyo anaanza ukurasa mpya km mharifu na mtu aliefanya shambulio la mwili na kutishia kuua yaan hapo ana mashtaka km 10 hivi kwa haraka haraka itategemea na maelezo ya mwanamke yamesemaje Ila ana mashtaka 10 ya haraka haraka na katika hayo 10 Basi 5 hachomoki maana alishajivuruga alipowaambia wazazi wa mwanamke nendeni muchukue mzoga wenu hapo getiniHuko mipakani msosi atapewa na nani,aheri ushibie jela,njaa inatesa hatari.Labda aende kwa ndugu wa mbali wamhifadhi.Ila nawaza kazini kule Rombo itakuaje? Je hatafukuzwa kazi?
Naona wengi wanasema hawajui chanzo mara ooh story ya upande mmoja. Hivi vuta picha ni binti yako wa kumzaa ndio anafanyiwa hivyo na mumewe!? Utaelezwa lugha gani ili uelewe somo. Acheni kujifanya mna haki na maisha ya watu, sababu na uhakika hata huyo baba huko alikokuwa miezi mitatu hakuwa mtakatifu sasa ya nini kumhukumu mwenzio.
Itafika kipindi watu wataogopa kuozesha watoto wao
Mimi baba angu akiozesha anamuita mkwe na wazazi wake anamuambia hivi"Binti hapigwi Mimi watoto wangu nawaelekeza wanaelewa siwapigi pia"akikushinda mrudishe Kwa wema Bora talaka kuliko jeneza au ulemavu wa kudumu"anamaliza hapo Mzee wangu nampenda SanaHuyo mbwa bado hajawekwa nyuma ya nondo,Wanawake wenzangu ukiona Mpenzi wako anakupiga kofi jua iko siku atakuja kukuvunja meno endeleeni kuvumilia [emoji51]
Kabisa kabisa kumpiga mwanaumee yeyote mpigaji mi nasemaga ni chiziii ana afya ya akiliMngeanza kubadilika nyie, ukiona mtu hakufai achana nae kumpiga mwanamke ni udhaifu na matusi makubwa kwa mtu anayejiita mwanaume, yaan ukimpiga mwanamke urijali wako umevuka.
Yani hapo akubali kupoteza kazi tuu.akimbie akaishia Malawi Ili asifungweHuyo ticha ni mshamba! Sasa ataenda kufundisha wafungwa wenzake
Huyi bwana ni mshenzi!Mwanamke Mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Jackline Mnkonyi mwenye umri wa miaka 38 mkazi wa Sombetini Jijini Arusha mei 23 mwaka huu majira ya saa 5 usiku alipata kipigo kikali kutoka kwa mume wake ikiwa ni pamoja na kung’olewa meno mawili na kutobolewa jicho kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa wazazi wake eneo la Sinoni kata ya Daraja Mbili Jijini Arusha,Jackline alisema kuwa baada ya kupata kipigo hicho alichukuliwa bila kujitambuwa na kupelekwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni na kutupwa getini bila ya kujitambua.View attachment 2635779
Alisema Mume wake mara baada ya kufika eneo la nyumbani aliwapigia simu wazazi wake na wazazi wake walipofungua geti walimkuta katika hali mbaya na baadae waliamua kumchukua na asubuhiu alipelekwa hospital ya kaloleni kwa matibabu zaidi.
Akizungumza Mkasa huo alisema kuwa,mchana wa mei 23 mwaka huu alitembelewa na mjomba wake ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi{CCM} Simiyu aliyetambuliwa kwa jina la Vicent Matai .
Jackline alisema na kumtaja mume wake kwa jina la ,Isaack Mnyagi Mwalimu na mkazi wa wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro huja baada ya muda wa zaidi ya miezi mitatu na zaidi kuona watoto wawili aliozaa nao na siku hiyo alikuja usiku ghafla.
Alisema alipofika nyumbani Sombetini maajira ya saa 4.45 usiku aligonga mlango na kufunguliwa na watoto lakini hakutaka salamu na kuingia chumbani na alipomfuata alitoka chumbani.
Jackline alipoona hivyo alimuuliza kulikoni alichoambulia ni maneno mazito na matusi na kuulizwa mchana alikuwa na nani na alimjibu kuwa alikuwa na mjomba wake hatua ambayo alikana na kusema kuwa ni mtu wake na huwa wanafanya umalaya hatua ambayo alipinga lakini alijikutaja akipigwa na ‘’mjeledi’’ mgongoni.
Picha ya Mume wa Jacline aliye mshambulia Mke wake kwa silaa za jadi .
Alisema alijitahidi sana kujieleza lakini ilishindikana na Mume wake Mnyagi alichukua Plaizi kifaa cha gereji na kumwamuru afungue mdomo na kung’olewa jino moja baada ya lingine huku akipata kipigo kikali na kujikuta na maumivu makali hadi jana.
Jackline alisema hatua hiyo aliona kama haitoshi aliamua kuchukua kitu chenye Icha kali na kumtoboa jicho moja ambalo hadi sasa hawezi kuona na kumwambia maneno mazito na mtusi huku akiendelea kupigwa hali iliyomfanya kupoteza fahamu.
Alisema hakujua jinsi alivyofikishwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni Daraja mbili na kutupwa getini kwani nilishtuka nikiwa hospital .
‘’Nimetobolewa jicho na nimeng’olewa meno mawili kwa chombo kinachoitwa Plaiz nina maamuvi makali sana naiomba serikali ichukue hatua dhidi ya mume wake kwani amenifanyia unyama wa hali ya juu’’alisema Jackline
Naye Mzazi wa Jackline,Mzee Elimilis John Mkonyi alisema kuwa baada ya kumpeleka katika hospital ya Rufaa ya Mount Meru na kupata matibabu alikwenda kituo kikuu cha polisi Arusha na kufungua jalada shambuli la kuzulu mwili kesi namba ARS/RB/5416/2023.
Muonekano wa Jackline kabla ya kupata kipigo kutoka kwa mume wake
Alivyosema ni kwamba: alipigwa ngumi nyingi kwanza hadi nusu kuzimia, ndio mengine yakaendeleaInafikirisha sana Ila kuna maelezo hayajajitosheleza kuna kitu bado kimejificha jamaa anaweza akawa na maelezo mengine yatakayo waacha watu midomo wazi ngoja akamatwe aje kusema ukweli
Ni uchizi kweli wala sio uzima na sio tu Mwanamke hata kumpiga mtoto hua nasema naonekana mbaya juzi kati huko huko Arusha Baba kampiga mtoto wake wa darasa la kwanza kipigo kama cha mwizi wa kariakoo hadi kamuharibu sehemu za siri, yaan mtoto mdogo kaumuka uso hadi anatisha, Mwanaume mzima na misuli imemkomaa ya mikono anapiga mtoto kama unaua nyoka au anapiga Mwanamke kama anakanda unga wa Maandazi akili zitoke wapi hapo kama sio ukichaa kasoro kuvua nguo.Kabisa kabisa kumpiga mwanaumee yeyote mpigaji mi nasemaga ni chiziii ana afya ya akili
Eti akimbie asifungwe huku kamuachia mwenzie ulemavu, haya kishakamatwa sasa ukampelekee chai magerezaYani hapo akubali kupoteza kazi tuu.akimbie akaishia Malawi Ili asifungwe
Unakwepa majukumu huna loloteNdo maana sipendi kuoa kabisa ,, maana nitamkata kichwa mapema sana... Mungu naomba unisamehe tuhh...
Sure..tatzo wabapenda wadangaji acha wakomePisinina tattoo,kaanmali na pisi zenye matattoo
HV mtu unatembee had na mjomba wako huu umalaya ni wa wapi bila shaka hawa Ni wanyaturuMwanamke Mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Jackline Mnkonyi mwenye umri wa miaka 38 mkazi wa Sombetini Jijini Arusha mei 23 mwaka huu majira ya saa 5 usiku alipata kipigo kikali kutoka kwa mume wake ikiwa ni pamoja na kung’olewa meno mawili na kutobolewa jicho kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa wazazi wake eneo la Sinoni kata ya Daraja Mbili Jijini Arusha,Jackline alisema kuwa baada ya kupata kipigo hicho alichukuliwa bila kujitambuwa na kupelekwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni na kutupwa getini bila ya kujitambua.View attachment 2635779
Alisema Mume wake mara baada ya kufika eneo la nyumbani aliwapigia simu wazazi wake na wazazi wake walipofungua geti walimkuta katika hali mbaya na baadae waliamua kumchukua na asubuhiu alipelekwa hospital ya kaloleni kwa matibabu zaidi.
Akizungumza Mkasa huo alisema kuwa,mchana wa mei 23 mwaka huu alitembelewa na mjomba wake ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi{CCM} Simiyu aliyetambuliwa kwa jina la Vicent Matai .
Jackline alisema na kumtaja mume wake kwa jina la ,Isaack Mnyagi Mwalimu na mkazi wa wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro huja baada ya muda wa zaidi ya miezi mitatu na zaidi kuona watoto wawili aliozaa nao na siku hiyo alikuja usiku ghafla.
Alisema alipofika nyumbani Sombetini maajira ya saa 4.45 usiku aligonga mlango na kufunguliwa na watoto lakini hakutaka salamu na kuingia chumbani na alipomfuata alitoka chumbani.
Jackline alipoona hivyo alimuuliza kulikoni alichoambulia ni maneno mazito na matusi na kuulizwa mchana alikuwa na nani na alimjibu kuwa alikuwa na mjomba wake hatua ambayo alikana na kusema kuwa ni mtu wake na huwa wanafanya umalaya hatua ambayo alipinga lakini alijikutaja akipigwa na ‘’mjeledi’’ mgongoni.
Picha ya Mume wa Jacline aliye mshambulia Mke wake kwa silaa za jadi .
Alisema alijitahidi sana kujieleza lakini ilishindikana na Mume wake Mnyagi alichukua Plaizi kifaa cha gereji na kumwamuru afungue mdomo na kung’olewa jino moja baada ya lingine huku akipata kipigo kikali na kujikuta na maumivu makali hadi jana.
Jackline alisema hatua hiyo aliona kama haitoshi aliamua kuchukua kitu chenye Icha kali na kumtoboa jicho moja ambalo hadi sasa hawezi kuona na kumwambia maneno mazito na mtusi huku akiendelea kupigwa hali iliyomfanya kupoteza fahamu.
Alisema hakujua jinsi alivyofikishwa nyumbani kwa wazazi wake Sinoni Daraja mbili na kutupwa getini kwani nilishtuka nikiwa hospital .
‘’Nimetobolewa jicho na nimeng’olewa meno mawili kwa chombo kinachoitwa Plaiz nina maamuvi makali sana naiomba serikali ichukue hatua dhidi ya mume wake kwani amenifanyia unyama wa hali ya juu’’alisema Jackline
Naye Mzazi wa Jackline,Mzee Elimilis John Mkonyi alisema kuwa baada ya kumpeleka katika hospital ya Rufaa ya Mount Meru na kupata matibabu alikwenda kituo kikuu cha polisi Arusha na kufungua jalada shambuli la kuzulu mwili kesi namba ARS/RB/5416/2023.
Muonekano wa Jackline kabla ya kupata kipigo kutoka kwa mume wake