Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi


Yani ni hili lipumbavu ndo limepiga mke, yupo kwenye hii video anaimba na Fanuel Zedekia, wimbo ukianza tu utaona anavyotabasam

 
Huyo mbwa bado hajawekwa nyuma ya nondo,Wanawake wenzangu ukiona Mpenzi wako anakupiga kofi jua iko siku atakuja kukuvunja meno endeleeni kuvumilia [emoji51]
Lazima yupo nyuma ya nondo na kipondo kikali sana kutoka kwa polisi wetu shupavu, na bado atatupwa jela ataishi maisha ya mateso kwa miaka mingi huko akapigane na wanaume wenzie aone virungu vinavyoingia, shenzi zake
 
Mngeanza kubadilika nyie, ukiona mtu hakufai achana nae kumpiga mwanamke ni udhaifu na matusi makubwa kwa mtu anayejiita mwanaume, yaan ukimpiga mwanamke urijali wako umevuka.
Ukihudumia mgodi na ukakupotezea muda na gharama unajua matokeo yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…