Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Arusha: Atobolewa Jicho na kung'olewa meno mawili kisa wivu wa mapenzi

Lazima yupo nyuma ya nondo na kipondo kikali sana kutoka kwa polisi wetu shupavu, na bado atatupwa jela ataishi maisha ya mateso kwa miaka mingi huko akapigane na wanaume wenzie aone virungu vinavyoingia, shenzi zake
Jamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
 
Jamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
Hahahahaha akatwe kikojoleo tu kisha akatupwe jela, aishi na hiyo guilty hadi anakufa
 
Hizo ni nadharia , tembelea magereza yetu utaujua ukweli. Wewe ni Dr. Kicheo ila kuna mambo una pwaya.
Ukweli wa nini kwenye hayo magereza yan unataka kusema huyo mjinga unayemtetea hajafanya hicho alichokifanya? Angekua ni mama ako ametobolewa jicho na kung'olewa meno na baba ako ungesema kua wanawake wamezidi?

Eti kuna mambo unapwaya yaan unataka tutetee ukatili una akili kweli au hujameza dawa leo?
 
Kwanza ningemuacha asahau hata kwa kumpa mbususu ili ajue yameisha kisha ndo atajua hajui yaani kifo au atoke kwenye kukojoza mpaka kwenye kukojozwa [emoji16][emoji16]
Uwiii wewe kiboko nimeamini visasi unaviweza [emoji119]
 
Back
Top Bottom