Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry mkuu halafu huwezi kuamini hiyo replay haikua yako.Duh! Mkuu ntake radhi mie Mwanaume Haswaaa
Tubadilike kitu gani ambacho nyinyi hamna kwanza siku zote Mwanaume mpigaji ana kasoro kupiga mtu kwake anaona kama tiba.Japo haya mambo yanaleta sifa mbaya kwa mitaa yetu ila wanawake badilikeni.
Ukiwa na hasira za mkizi utaishia jela na kua kitoweo cha manyaparaUkihudumia mgodi na ukakupotezea muda na gharama unajua matokeo yake?
Pamoja mkuu haina nomaSorry mkuu halafu huwezi kuamini hiyo replay haikua yako.
Jamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.Lazima yupo nyuma ya nondo na kipondo kikali sana kutoka kwa polisi wetu shupavu, na bado atatupwa jela ataishi maisha ya mateso kwa miaka mingi huko akapigane na wanaume wenzie aone virungu vinavyoingia, shenzi zake
Ukiona mwanaume kanyoosha maguni , sijui siraha .. kaa ukijua ana kichaa huyo 😅😅Tubadilike kitu gani ambacho nyinyi hamna kwanza siku zote Mwanaume mpigaji ana kasoro kupiga mtu kwake anaona kama tiba.
Haka km kazingua sio kumpiga kiasi hiki ww muache oa mwanamke mwingineHawa wanawake usipende kuwatetea 100% sometime wanazingua wazi wawzi
Huyo kufungwa lazima haijalishi mwanamke kafanya kweli au laah, hana tofauti na muuaji,Aliyemshambulia mshenzi, akale mvua za kutosha na iwe fundisho kwa wengine
Usifanye ivyo, bora mwagie tindikali au mpe sumu afeJamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
Hahahahaha akatwe kikojoleo tu kisha akatupwe jela, aishi na hiyo guilty hadi anakufaJamanii mtu wa hivi hata kama akitoka baada ya kuisha kifungo mimi sitakubali nitahakikisha na yeye anakuwa shoga kwa gharama yoyote ile haiwezekani mimi anipe ulemavu yeye awe sawa.
Hizo ni nadharia , tembelea magereza yetu utaujua ukweli. Wewe ni Dr. Kicheo ila kuna mambo una pwaya.Ukiwa na hasira za mkizi utaishia jela na kua kitoweo cha manyapara
Nashukuru Mungu kwenye mahusiano yangu yote sikuwahi kupigwa hata kofi la bahati mbaya vinginevyo mimi mtu wa visasi nadhani ningekuwa jela siwezi kubali kwa kweli.Ukiona mwanaume kanyoosha maguni , sijui siraha .. kaa ukijua ana kichaa huyo 😅😅
Visasi ila sio vizuri. Jifunze kusamehe, ila mtu ane mpiga mwenzake hayupo sawa kabisa.Nashukuru Mungu kwenye mahusiano yangu yote sikuwahi kupigwa hata kofi la bahati mbaya vinginevyo mimi mtu wa visasi nadhani ningekuwa jela siwezi kubali kwa kweli.
Kweli Mwanamke unayempenda unaweza mpiga kiasi hiki dah[emoji53]
Kwanza ningemuacha asahau hata kwa kumpa mbususu ili ajue yameisha kisha ndo atajua hajui yaani kifo au atoke kwenye kukojoza mpaka kwenye kukojozwa 😁😁Hahahahaha akatwe kikojoleo tu kisha akatupwe jela, aishi na hiyo guilty hadi anakufa
Ukweli wa nini kwenye hayo magereza yan unataka kusema huyo mjinga unayemtetea hajafanya hicho alichokifanya? Angekua ni mama ako ametobolewa jicho na kung'olewa meno na baba ako ungesema kua wanawake wamezidi?Hizo ni nadharia , tembelea magereza yetu utaujua ukweli. Wewe ni Dr. Kicheo ila kuna mambo una pwaya.
Kama nikishindwa kusamehe mimi huwa nalipa kisasi siwezi kuwa mnafiki kwa hili.Visasi ila sio vizuri. Jifunze kusamehe, ila mtu ane mpiga mwenzake hayupo sawa kabisa.
Uwiii wewe kiboko nimeamini visasi unaviweza [emoji119]Kwanza ningemuacha asahau hata kwa kumpa mbususu ili ajue yameisha kisha ndo atajua hajui yaani kifo au atoke kwenye kukojoza mpaka kwenye kukojozwa [emoji16][emoji16]