Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hufananii na visasi kabisa. 🫣Kama nikishindwa kusamehe mimi huwa nalipa kisasi siwezi kuwa mnafiki kwa hili.
Yes sura ya upole,sauti ya upole ila ukizingua tutaoneshana kweli labla nife vinginevyo hakuna namna 🤷🏼♀️Hufananii na visasi kabisa. 🫣
Dah! Ungekuwa Rais wa nchi , tungenyooka sasa 😅😅Yes sura ya upole,sauti ya upole ila ukizingua tutaoneshana kweli labla nife vinginevyo hakuna namna 🤷🏼♀️
kama mtu ana kasoro mwambie na kama hawezi kuwa unavyotaka bora muachane, kuliko mwisho wa siku yanakuja tokea majanga. Mapenzi & mahusiano ni ridhaa na si utumwa.Tubadilike kitu gani ambacho nyinyi hamna kwanza siku zote Mwanaume mpigaji ana kasoro kupiga mtu kwake anaona kama tiba.
Ni bora kuachana kwa kweli kuliko kupeana ulemavu wa kutoboana macho.kama mtu ana kasoro mwambie na kama hawezi kuwa unavyotaka bora muachane, kuliko mwisho wa siku yanakuja tokea majanga. Mapenzi & mahusiano ni ridhaa na si utumwa.
Hahahah ndo muache kuchepuka na mauncle sasa mkishaolewaa hahaha kenge kabisaLazima yupo nyuma ya nondo na kipondo kikali sana kutoka kwa polisi wetu shupavu, na bado atatupwa jela ataishi maisha ya mateso kwa miaka mingi huko akapigane na wanaume wenzie aone virungu vinavyoingia, shenzi zake
@Mpwayungu VillageDuh mwalimu ana hasira,maslah duni anataka kuua mke[emoji120]haya hili nalo wana ndoa mkalitazame[emoji1787]
Itoshe kusema siwezi toa maoni kwa njia unayoitaka na wala muda wa kushindana nawe sina.. Kikubwa tujikite kwenye mada itapendeza zaidi.Ukweli wa nini kwenye hayo magereza yan unataka kusema huyo mjinga unayemtetea hajafanya hicho alichokifanya? Angekua ni mama ako ametobolewa jicho na kung'olewa meno na baba ako ungesema kua wanawake wamezidi?
Eti kuna mambo unapwaya yaan unataka tutetee ukatili una akili kweli au hujameza dawa leo?
Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu ,biblia imesemasafi sana
ndiyo dawa ya msaliti hiyo
Nimeona tatoo mkononi, ukute jamaa alikutana na nyingine kiunoni au pajanibaki njia kuu, epuka kula vya watu kisha kuleta ujinga ujinga... hakuna vya bure... mwanamke ni mali ya mmoja
NB; KATAA NDOA