Hakunaga lemala bali kuna lemara afu umekuja toka dar unafikia majengo unajiona umetembea chuggaaaaaa vunga chaliiii afu chugga hatutakagi masnitch kama ww usamberaaa peleka dsm kwa wadadaHayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha
Hahaha hii ndo chuga
kushView attachment 1970507 kama dawa kama kawa
Hapo unakutana na chali ya chuga ka kuninginizia lapa na kidole cha mwisho cha mguu anachapa pikipiki hatari