Arusha City in photos and its wildlife

Hayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha
Hakunaga lemala bali kuna lemara afu umekuja toka dar unafikia majengo unajiona umetembea chuggaaaaaa vunga chaliiii afu chugga hatutakagi masnitch kama ww usamberaaa peleka dsm kwa wadada
 
Kumbe Arusha bado xana maana naona wanyama na hotels tyu kumbe nihalal GDP iwendogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…