Arusha: Dereva wa pikipiki aliyekaripiwa kwa kumkosa mtoto apandwa hasira na kuwaita wenzake kuivamia sherehe kwa mapanga

Arusha inapoelekea itakuwa na Kizazi cha ovyo sana.
Wana kaushamba flani ivi sijui wamekatoa wapi
 
Uzuri ujinga wao wanafanya huko huko, afu ni wavivu kimaku hao jamaa

Nimekaa kota za Soweto bhasi bhana kila wakikuona mgeni mtaani wanaomba omba Hela ukiwanyima wanatoa shit au kupanga kukuibia

Kuna mtaa wanaita Hololo vijana wamechoka vibaya, ila wanausela Mavi Sana, nafikiri shida wengi wao wamezaliwa hapo kutoka mbali ameenda Moshi au babati jamii ni zile zile
 
Mm ningekuwa mkuu wa kituo ningeeanza na kuuza pikipiki zao kwanza ili kumplipa fidia mhusika.
 
Mkoa wa Arusha watu wanadekezwa sana Serikali impeleke kichaa Chalamila
 
Ujinga mwingi huko wenyewe wanajiona wajanja

Ova
 
Hawa jamaa watafutwe kokote waliko na waletwe kwenye vyombo vya sheria haraka iwezekanavyo!!!
 
Mithali 28:19: Bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umaskini wa kumtosha.
 
Majibu ya maombi ya jana
 
Ina maana Yale maombi hayajasaidia? Au yalikuwa Kwa ajili ya mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…