Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Hayo mambo Kwa Nchi yetu hadi miaka ya mwishoni mwa 90 hayakuwa yakifanyika.

It was considered as curse

Lakini miaka hii ni kama Kuna Kasi kubwa ya kutaka yaonekane kama ni mambo ya kawaida.

Guys, for whatever, Kuna haja ya kukaa na kutafakari wapi tulipojikwaa.

Tukifanya mchezo, tunaenda kuwa na familia za ajabu kufikia Mwaka 2040 tu hapo.

Haiwezekani Mwanaume na akili zako timamu alizokupa Mola eti unasimamisha kifanyio Chako na kumuingilia Mwanaume mwenzako😭🙌

God have mercy
 
Kwako Benson Ngowi,
Nimefuatilia hii taarifa na kuuliza Mahakimu wawili, wanasema hapa kesi hakuna.
Sio rahisi wewe kufungwa.

Naona kuna adhabu umejipa mwenyewe na ni ya milele:
Bila shaka:
una wazazi
una ndugu
Una mke na watoto
una unaofanya nao kazi
uliosoma nao chuo
waumini wenzio wa kanisani na jumuia.
Majirani

Hao wote wanakuonaje?
Je utasingizia pombe?
Je utamsingizia shetani?

Umeacha kidonda kwenye maisha ya vijana wenzio!
Umejiongezea maadui,
Umetengeneza Kisasi, wanaweza kukuacha, wakaja kukutafuta miaka 3 mbeleni huko.
 
huyu Hakimu ahukumiwe kunyongwa hadi kufa.
Hafai kabisa kuwa kwenye jamii.
 
Yani wachagga mnatutia aibu masheji zenu ..haya mambo ya kugawa ndomboro yasoro mmeanza lini jamani? Mbona mmeanza kuwa wajinga?
 
Hakimu alikuwa anahudumia huyo dogo. Yaani nikama mtu na mke wake usikute hata hilo geto hakimu ndio anatoa pesa. Brother katumwa kiepe yai huko dogo kabaki anatoa utamu

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Mnanichekesha nyie watu wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Lusungo,
Kama walikuwa wapenzi sifikirii ingekuwa rahisi kwa mtuhumiwa kumtuma kaka mtu chakula na wakafanyia uchafu huo hapo ndani, wangeogopa kukutwa na wangetafuta sehemu salama zaidi.

Ila pia kama kijana alikutwa ajitambui huenda aliwekewa madawa kwenye kinywaji hicho, sioni sababu ya yote hayo wafanye kama wangekuwa ni watu wanaoelewana.
Hiyo taarifa ukiisoma vizuri, imewekwa hivyo ili ionekane kuwa hakukuwa na ridhaa isipokuwa amebakwa baada ya kuleweshwa, lengo la kufanya hivyo ni kulinda status ya familia.
Ila hao ni dhahiri kwamna walikuwa wakifanya huo mchezo kitambo tu.
 
Back
Top Bottom