mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
wewe na mwenzako bichwa komwe,mmepata shemela wakili😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe na mwenzako bichwa komwe,mmepata shemela wakili😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HIzi ni sanaa sasa
Mwanaume miaka 29 si ni libaba lizima??
Linaleweshwa na kulawitiwa nyumbani kwake mwenyewe??
Hao wanajuana tu mtu na mtuwe
Sasa km ndo hivyo, si waache kusukumwa nyama wanapata raha gani? LolKuna mapunga mengi hupenda kunywa pombe mpaka yazimike ndipo yafanywe. Yaani akiwa mzima anaona vigumu kuzibuliwa, hivyo anatumia pombe na kulewa chakari kabla ya action. Inawezekana huyo jamaa wa boda ni mmojawapo, na kaka yake alishajua hivyo akandaa mtego.
Rhabhekhaaaaaa.@cocastic
Rhabhekhaaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa starehe za watu, wee inakuhusu nn? Wee na mpenzi wako nani anawapiga chabo? Na hizo picha unafanyia nn ukishamaliza kutazamaaa?Juzi kinondoni katikati ya studio na mkwajuni mida ya saa sita za usiku. Kwa mara ya Mwanza nikaona wapenzi wa kiume. Walitembea free kabisa wakishikana shikana. Na wakifika kwenye kiza wanapigana denda. Mwanzoni nilidhani ni mtu na mwanamke wake lakin nilipowasogelea zaidi nikaona ni vijana wadogo early 20s na wote ni wanaume na wataonekana washikaji kabisa
Kusema ukweli kuwa uyaone...nilichukua picha kwa kuibiaibia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mwenzie bichwakomwe[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee.
Bodaboda ni laana.
Yaleyale ya chamazi bodaboda kulawitiwa na mzungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanitakaa sanaa eeeh?Itakuwa bado kalala anakuja
Nna mashemeji zangu halisi, ndugu zake na Ba tamuu, huyo hakimu hata hanihusu.wewe na mwenzako bichwa komwe,mmepata shemela wakili[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nguvu,Ina walakini kwasababu aliyehusika ni BENSON, ingekuwa muhusika ni ABDALLAH wala usingeona uwalakini
Wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, na alio soma nao chuo wana mambo yao pia, hana mda wa kuhangaika nao.Kwako Benson Ngowi,
Nimefuatilia hii taarifa na kuuliza Mahakimu wawili, wanasema hapa kesi hakuna.
Sio rahisi wewe kufungwa.
Naona kuna adhabu umejipa mwenyewe na ni ya milele:
Bila shaka:
una wazazi
una ndugu
Una mke na watoto
una unaofanya nao kazi
uliosoma nao chuo
waumini wenzio wa kanisani na jumuia.
Majirani
Hao wote wanakuonaje?
Je utasingizia pombe?
Je utamsingizia shetani?
Umeacha kidonda kwenye maisha ya vijana wenzio!
Umejiongezea maadui,
Umetengeneza Kisasi, wanaweza kukuacha, wakaja kukutafuta miaka 3 mbeleni huko.
Yani unavyopenda haya mambo asee, ndo mana nikasema nikuite uoneMnanichekesha nyie watu wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km unakunywa mpka hujitambui unategemea nnAtakama anapenda dezo bado si Justification ya alichofanya Hakimu.
Na nishaonaa aseeeeh, ahsante kwa tag. [emoji23][emoji23][emoji23]Yani unavyopenda haya mambo asee, ndo mana nikasema nikuite uone
Wanatamaa za kijinga kumaliza deni haraka haraka wamiliki jombo.Bodaboda wanafilw sana itakuwa
Ova
wanajuana kitambo sema dili limegundulika na kaKa mtu
Hata huyo Hakimu naye huwa anafanywa...wote ni Mashoga haoWalikua wapenzi hao....