We fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?
Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.
Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.
Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.
truly speaking, japo naishi Arusha lkn ni jiji la kishamba sana linapokuja swala la usafiri wa umma, vipanya tena vipank everywhere. Ni vigumu kuelewa kwa sifa za Arusha na hali halisi ya usafiri.Nipo Arusha, yaani hivi vi-hiace katikati ya mji ni uchafu na usumbufu katika zama hizi za wingi wa magari.
Vinasababisha usumbufu, vinasimama popote ni vingi na kero.
Uongozi wa Halmashauri ya jiji Arusha hebu igeni majiji mengine ya Tanzania kama Mbeya na Dar walishaachana na vigari aina ya 'vipanya' katikati ya miji yao. Ninyi mmekomaa navyo.
Wekeni jiji kuwa na hadhi ya Geneva kwa kuondoa vipanya city center.
Abiria√abilia (
Yaani wewe kukaa Chuga miaka 3 ndio ubishane na mzawa?Haina paringi arifu.Nimekaa chuga kwa zaidi ya miaka mitatu na nimejifunza tu kuwa kwa sasa chuga haiwezi kuhama kutoka matumizi ya vfod na kuanza kutumia costa kutokana na sababu mbalimbali kama vile
Mji umejifunga sana sehemu moja na ndio unatanuka
Mfano mtu anaweza akatembea kuanzia mwanzo wa ruti mpaka mwisho wake kwa dk 25 tu...... Chukulia ruti hiziii...Soko kuu mpaka moshono chekereni, soko kuu mpaka sokomjinga nafikir pia panaitwa engo sengeu au ruti ya soko kuu mpaka kijenge juu... Yani ruti ndefu ni zile za kutoka nje ya mji kabisa kama soko kuu kwenda usa river,,,kiufupi bado sana kutumia costa
, watu sio wengi sana maana hata hvo vfod mpaka vijaze vinaitia sana abiria kwa muda mtefu so ukiweka costa biashara itakua ngumu sana.
Pia watu wengi chuga wana usafiri binafsi na wengi wana ndinga za maana
Kuna mdau juu kaponda et kuitwa Geneva ni kujidanganya... Friend lile jiji ni location tamu sana ya utulivu na n la kuponda mali sanaaaa
[emoji2][emoji2][emoji2] akikujibu nitagYaani wewe kukaa Chuga miaka 3 ndio ubishane na mzawa?Haina paringi arifu.
Aisee chalaa angu hebu kula ngusu Kwanza hapo,afu rudi Tena hapa Ila kitu cha makushabu usiguse.
Iandikie hioooo.
Kwa sasa MBEYA ndiyo mji wenye usafiri safi mbali ya Dar....nikiwa mbeya kupanda daladala sisiti ila Arusha wananiangushaHivi kuna mji wenye usafiri safi wa daladala kuliko mbeya maana kwa Dar,iringa,morogoro,mtwara,songea naona bado kulinganisha na mbeya
Hizo gari ni uchafu.We fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?
Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.
Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.
Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.
That's the point sasa kibiashara ukiweka coaster aisee itakuwa loss tupu kumbuka hizo hiace nyingi ni zile zenye four wheel ambazo ni shark ni ngumu sana kwa mazingira ya chuga zinafaa ukileta hiace ya kawaida lazima ilale ndani ya miezi sita.Hizo gari ni uchafu.
Watu wanatembea kwasababu mji ni mdogo sana.
Watu wengi wanakaa maeneo hayohayo karibu na town.
That's the point sasa kibiashara ukiweka coaster aisee itakuwa loss tupu kumbuka hizo hiace nyingi ni zile zenye four wheel ambazo ni shark ni ngumu sana kwa mazingira ya chuga zinafaa ukileta hiace ya kawaida lazima ilale ndani ya miezi sita.
Hali ya barabara kwa baadhi ya maeneo sio nzuri. Let's be honest. Let's say route ya stendi kuu to ilboru via mianzini like juu ni kubovu Hadi ilkiding'a ulisema unapeleka gari laini ujue imekula kwakoKisa?
Aisee!Ndio, halafu ikifika saa 3 usiku vinatoweka na kusababisha usumbufu wa usafiri tena.
Hali ya barabara kwa baadhi ya maeneo sio nzuri. Let's be honest. Let's say route ya stendi kuu to ilboru via mianzini like juu ni kubovu Hadi ilkiding'a ulisema unapeleka gari laini ujue imekula kwako
Mwanza itabaki kua juuJiji la Mbeya naona mpk mkuu wa mkoa alienda kuzindua ghorofa ya Kwanza lenye lift mkuu.
Hili jina la Geneva of Africa tulipewa kufarijiwa tu nadhani.
Dar nayo ni jiji letu lkn BBC waliliita ni Kijiji kikubwa cha wavuvi.
Majiji yetu ni changamoto kiaina.
Pimped wapi mzee acha uongoWe fanya yako uridi kwenu kila mji una kitu kinachoweka identity yake. Nenda Johannesburg utakuta Wana hiace dungu zile new model hakuna mabasi unayotaka sijui coaster kwani unaenda mkoani?
Halafu route ni fupi pia abiria sio wa kivile unajua mji una baridi watu wengi wanatembea tu kwa coaster utapata hasara.
Kuhusu hiace hata Lagos na Harare pia ndio usafiri wa town.
Hizo hiace hapo Arusha zimekuwa pimped balaa mbona husemi? Zina muziki na tairi inapigwa rim sport kali. Hiyo ndio chuga mazee acha usoro jomba.