mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 657
- 993
Duh[emoji16][emoji16][emoji16]Uko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
uko sahihi ila na wewe ukiwa kama msomi ungeelezea unamaanisha nini Kuongezea H mbele kwa maneno yapi with reference to maandishi ya muanzisha mada.Kwanini lakini baadhi yenu mnatumia neno H mbele ?
Inakera kwa mtu anaejua kusoma na kuandika halafu unaandika kwa makusudi kabisa
Au ni lugha mpya
Mtaani atakutana na wakina kingaiUko sawa, leo anahukumiwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Wakati Kesi ya Uhujumu Uchumi ikiendelea. Na Ile ya Utakatishaji fedha ikiwa inamsubiria, hizo ni kwa mkoa wa Arusha, bado kule Kilimanjaro ana kesi kibao za kujibu
.
Akichomoka kwenye hizi kesi zote mtaani nina hakika hata chomoka.
Kesi ya Mbowe ndiyo imeleta shidaAu kuna maelekezo toka juu imeleta mikingamo?? Hapo jaji anapewa maelekezo toka juu yeye anabisha
Hawawezi kumfungaSio mbaya,maana atakua amekaa miaka 9 jela.2030 hio
uko sahihi ila na wewe ukiwa kama msomi ungeelezea unamaanisha nini Kuongezea H mbele kwa maneno yapi with reference to maandishi ya muanzisha mada.
Nina uhakika kuna watu hawatakuelewa unataka umaanishe nini
sijakupata, kwenye Hairisha? sijui kama ni hivyo nawambia mods warekebishe.. aishisha au hairisha, more eleboration please
Hakuna kusamehewa shetani huyo na jambazi mkubwamsameheni tuuu mateso ya kisaikolojia alokwisha pata yanatoshaaa
Mi nkajua alitakiwa aje atoe ushahidi kesi ya Mbowe
Mbowe je?Na asulubiwe, asulubiwe, kijana mpuuzi sana Sabaya
Bado ana week 2 zaidi za KUNYEA NDOOWanajukwaa nawasimu,
Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.
Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).
Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.
=========
Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.
Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na Mohamed Saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.
Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita, ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa, hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .
Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula
==========
UPDATE:
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imeahirisha kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili.
Hukumu imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021
Jela kugumu Kama huna connection. Ukiwa nazo utalala sick bay, utakula nyama choma, Uhuru tu na kipapa ndio utavisikia kwenye redio.Hivi jela kumbe Kuna huduma za super black
Tayri imeota mbawa..
Imeahirishwa hadi 15/20/2021
Hapo ndipo huwa nachoka mahakimu wetu.
Au hukumu ina andikiwa kutoka juu??