Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Hata akiachiwa Mkuu jamaa kwisha habari yake.Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.
Sabaya ni jambazi na mbakaji mkubwa,,we dada lazima umtetee sababu ni bwanaako pia.Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Aliteuliwa peke yake? Mbona wenzake hawakuyafanya hayo?Mimi simlaumu Sabaya namlaumu aliyemteua.
Bashite naakia yee ndo wanamdandia [emoji848]Tofauti yao labda kulawiti, sijawahi kuisikia hii kwa makonda
anatakiwa apelekwe the Hague hana tofauti na Bosco ntagandaNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Alikufila huyu ndugu....Hakika cheo zamana unapewa ukuu wa wilaya unageika mfilaji shenzi taip
mke wa mtu anaweza kukushauri mwanaume kweli? lema kaolewa huyo ni mke wa wanaume huko hana ushauri kwa wanaumeSabaya atamkumbuka sana Mh Lema kwa maonyo yake kwake. Alambiwa sana ila alishupaza shingo.
Mpiganaji wa kitu gani,ndio kusema alitumwa na CCM kufanya aliyoyafanya?Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Ulisema maneno haya wakati ule wa kina Seth Harbinder na Rugemalila?Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?
Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.
Ndugai sheria ilishatengenezwa hatakaa ashitakiwe labda muende kwenye mahakama za asiliKwakuwa aliwaaminisha kuwa ukatili unalipa. Aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye huwa hajaribiwi. Yuko wapi sasa? Angalia alvyowaachia wafuasi wake mateso makubwa.
Yaani Saambaya leo anaamkia lupango bila kuchana nywele wala kunawa uso badala ya Gran Melia pembeni akiwa na Binti Mrembo?? Ndugai kama una akili jifunze kitu hapo. Acha kiburi cha madaraka.
siyo kama jambazi,sabaya ni zaidi ya jambaziKazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Unatakiwa kuelewa maana ya jinai kinga anayo raisi tu. Wengine wote lolote linaweza kutokea.Peleka mtu mahakamani akajibu mashitaka yake kama kuna makosa funga, lakini kwanini umdhalilishe mtu na mapicha hakiwa mnyongee yatakayosambaa mitandaoni.
Tasteless and unethical kwa nafasi yake, at the end of the day alikuwa kiongozi with that he deserves some respect.
Tunaendelea kusisitiza kwamba, Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetuHuyu atakuwa wa mfano
Kweli uongozi wa mama Samia hautaki mchezo
hivi wewe hujawahi ona picha cctv za sabaya mitandaoni? na tuhuma mbali mbalia? tumia akili yako hata kwa asilia tanosiamini kama alikuwa anaonea wananchi alafu JPM amuache. Watz tunafurahi kuona mtu wa aina ya sabaya anapelekwa mahakamani huku wahujumu uchumi wakubwa na wezi ambao wameibia serikali tukiwa tunanaka watolewe mahabusu, na wengine tukiwak8ngia kifua. naanza kuelewa sasa kwanini Kenyatta alimwambia nyerere ni rahisi saba kuongoza Tz.
Kwa hizo picha, kwa kweli alikuwa ana haki ya kumwaga machozi alipofarikiJPM ambaye alikuwa anamdekeza!Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.
Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili
Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake
2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola
View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU
View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama