Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Jamaa kawa chokoraa ndani ya kipindi kifupi
Jaman haya maisha tuishi vizuri na watu
Kwa mara ya kwanza naanza kuingiwa na huruma dhidi ya huyu jamaa
Nakumbuka akina Mbowe wanawekwa ndani ya makosa ya kubambikwa kuna watu walishangilia
Ili liwe funzo jamani
Jaman haya maisha tuishi vizuri na watu
Kwa mara ya kwanza naanza kuingiwa na huruma dhidi ya huyu jamaa
Nakumbuka akina Mbowe wanawekwa ndani ya makosa ya kubambikwa kuna watu walishangilia
Ili liwe funzo jamani