Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Jamaa kawa chokoraa ndani ya kipindi kifupi
Jaman haya maisha tuishi vizuri na watu
Kwa mara ya kwanza naanza kuingiwa na huruma dhidi ya huyu jamaa

Nakumbuka akina Mbowe wanawekwa ndani ya makosa ya kubambikwa kuna watu walishangilia

Ili liwe funzo jamani
 
Kazi yote aliyofanya Sabaya ya kumng'oa Mbowe pale Hai leo hii analipwa kwa kushikiwa "bastola" kama jambazi?
Aisee!!!!!
Sabaya ni jambazi na mbakaji mkubwa,,we dada lazima umtetee sababu ni bwanaako pia.
 
Atakapofungwa pia mtujulishe! Nasikia watu wa 'system' na wafia Green hawafungwaji
 
Sabaya atamkumbuka sana Mh Lema kwa maonyo yake kwake. Alambiwa sana ila alishupaza shingo.
mke wa mtu anaweza kukushauri mwanaume kweli? lema kaolewa huyo ni mke wa wanaume huko hana ushauri kwa wanaume
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Mpiganaji wa kitu gani,ndio kusema alitumwa na CCM kufanya aliyoyafanya?
 
Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Ulisema maneno haya wakati ule wa kina Seth Harbinder na Rugemalila?
1622808590784.jpeg
 
Hawa TAKUKURU wanaweza kuwasilisha ushahidi dhaifu halafu mwisho wa siku anaachiwa.

That’s what is going to happen!! Ni kweli ana tuhuma kama zote lakini sasa kwamfano tuhuma za kuwataka wake za watu kinguvu kuwabaka nk ishu itakayowachinja ni Ushahidi, je waliripoti polisi? Na taratibu zingine kama hizo
 
Kwakuwa aliwaaminisha kuwa ukatili unalipa. Aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye huwa hajaribiwi. Yuko wapi sasa? Angalia alvyowaachia wafuasi wake mateso makubwa.

Yaani Saambaya leo anaamkia lupango bila kuchana nywele wala kunawa uso badala ya Gran Melia pembeni akiwa na Binti Mrembo?? Ndugai kama una akili jifunze kitu hapo. Acha kiburi cha madaraka.
Ndugai sheria ilishatengenezwa hatakaa ashitakiwe labda muende kwenye mahakama za asili
 
Peleka mtu mahakamani akajibu mashitaka yake kama kuna makosa funga, lakini kwanini umdhalilishe mtu na mapicha hakiwa mnyongee yatakayosambaa mitandaoni.

Tasteless and unethical kwa nafasi yake, at the end of the day alikuwa kiongozi with that he deserves some respect.
Unatakiwa kuelewa maana ya jinai kinga anayo raisi tu. Wengine wote lolote linaweza kutokea.
 
siamini kama alikuwa anaonea wananchi alafu JPM amuache. Watz tunafurahi kuona mtu wa aina ya sabaya anapelekwa mahakamani huku wahujumu uchumi wakubwa na wezi ambao wameibia serikali tukiwa tunanaka watolewe mahabusu, na wengine tukiwak8ngia kifua. naanza kuelewa sasa kwanini Kenyatta alimwambia nyerere ni rahisi saba kuongoza Tz.
hivi wewe hujawahi ona picha cctv za sabaya mitandaoni? na tuhuma mbali mbalia? tumia akili yako hata kwa asilia tano
 
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, wako mahabusu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Bado haijafahamika mashitaka yanayomkabili

Pia soma
1) Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

2) Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

View attachment 1807936
Ole Sabaya akitoka kwenye gari la Polisi akiwa kafungwa PINGU

View attachment 1807996
Ole Sabaya akiwa amechuchumaa mbele ya Mahakama
Kwa hizo picha, kwa kweli alikuwa ana haki ya kumwaga machozi alipofarikiJPM ambaye alikuwa anamdekeza!
Bado BASHITE!
 
Back
Top Bottom