Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Hahahaha hahahaha
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Pole Sana kwa maumivu.
 
Kwani sabaya ni Nani Hadi asipigwe picha? Unyonge siyo Kinga ya yeye kutopiga picha
 
Amefanya lipi?

Mbona hamsemi?
 
Atalia sana huyo mtu maana vilio alivyo visababisha kwa wananchi wasiyo na hatia ni wengi sana.
 
Nawale alokuwa akiwabaka? Nakuwapiga? Wanahitaji nini?
Sabaya yupo mikononi kwa watu sahihi hilo halina ubishi lakini serikali aitakiwi kupeleka vinywaji kwenye sherehe ya walioumwiza.

Jukumu la serikali ni kumchukulia hatua za kisheria, sio kutengeneza mazingira ya kumdhalilisha kama kwenye hizo picha.
 
Wale akina Seth wao sio watu??
 
Naona anakula kiepe yai
 
Ushahidi uko wapi?

Kila mtu anaweza kusema lolote mtandaoni!

Any paper evidence please?
nenda hai utapata wengi wenye makovu ya kutendewa na huyu ubwa aliteka vijana wadogo kabisa akaenda kufanyia unyama Arusha huyu Mungu hamuachi sio suala la serekali
 
Sabaya yupo mikononi kwa watu sahihi hilo halina ubishi lakini serikali aitakiwi kupeleka vinywaji kwenye sherehe ya walioumwiza.

Jukumu la serikali ni kumchukulia hatua za kisheria, sio kutengeneza mazingira ya kumdhalilisha kama kwenye hizo picha.
Hoja yako ni dhaifu saana sana! Bora ukae kimya
 
Siku zaenda mbio. Mwana mamaaa (Wimbo gani huo tena?)

Sabaya naye wa kuficha sura leo? Kweli mwisho wa ubaya ni aibu. Nilifikiri vibaka wa mtaani tu ndio huficha sura mahakamani. Kumbe hata hawa vibaka wa serikalini! Ukisikia karma ndio hii.
CHEO ni dhaman tukitumie vizuri.
Alienda Clouds kujiosha , kumbe ndo kachokoza hasira!
 
Wasitengenezewe mazingira ya kudhalilishana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…