JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Uamuzi huo umefikiwa kufuatia ombi lililowasilishwa na mlalamikaji Dominick Damian dhidi ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambaye alikuwa anaomba kubatilishwa kwa hukumu ya kifo, ambayo alikuwa anasubiri utekelezaji wake katika Gereza la Butimba.
Chanzo: Azam TV