Arusha: Makada 5 wa CHADEMA wakamatwa wakidaiwa kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kibenki ili kuiba fedha kwa ajili ya Uchaguzi

Mmmmh yani kuingilia mifumo ya benki ni rahisi kiasi hicho? Yaani uingie kwenye mfumo wa benki na ki laptop chako 'intel duo core'...uchote fedha uhamishie kwenye account yako na ukazitoe hapa hapa TZ....Niliwahi kutumiwa 5mil. baada ya muda mfupi nikatumiwa tena 5mil...nilipigiwa simu na NMB
 
Wanachama wanafuata tabia za mwenyeki wao mpendwa. Chama kimejaa wapigaji.
 
Kamanda Hamduni upo duni kweli, unakubali kuharibu image ya jeshi la polisi kubambika watu kesi ya jinai!? Kuingilia mifumo ya kibenki ni kosa la uhujumu uchumi.
 
Eti kosa ni kutaka kuingilia mifumo ya kibenki na kuiba fedha za uchaguzi!😁😁😁😁,hili jeshi kwakweli linafanya propaganda za kipumbavu kabisa!Hivi mnatuona watanzania ni wajinga?
Kwanini waseme wanataka kuiba fedha kwa ajili ya uchaguzi?Watuhumiwa wamekiri hivyo?Pumbav kabisa hili jeshi
 
....kinacho shangaza kwenye vyombo vyetu vya usalama nikumkamata MTU wakiwa hawajatengeneza ushahidi au hawana ushahidi na ukifika polisi utapigwa mpaka ukubali hats kama hau husiki utataja hats watu ambao hawakuhusika ili ukiepuke kipigo skuhizi kuna usemi unasema polisi hatu kataagi tuna kataa mahakamani"
 
Habari zimezagaa mjini ndiyo Nini hapo panahitaji ufafanuzi.Tuseme benki sijui ipi walilalamika kuwa mfumo wao umeingiliwa kwa fedha zinahamia kwenye akaunti ya chadema dah Mimi sielewi bhana.
 
Marehemu Sitta aliziita siasa za maji taka. Kule Singida mgombea wa ubunge wa CHADEMA alivamiwa usiku nyumbani kwake na kupigwa eti kwa vile kulikuwa na silaha nnyumbani kwake. Alipopekuliwa, wakamkuta na kisu na panga nyumbani kwake. Wakamkata na kumpeleka kituoni kwa kukutwa na kisu na panga nyumbani kwake! bi siasa za maji taka kweli kweli.
 
Mkuu kabisa napenda sana niwe katika kundi la wanao jielewa, naomba unisaidie sifa zao ili na mimi nijielewe. Nisaidie tafadhali . . . . .
1.Mifumo ya kibenki haijaingiliwa ila wanatuhumiwa kuwa na nia ya kutaka kuingilia mifumo ya kibenk!
2.Hata kosa la wizi halijatendeka wala kuingilia hiyo mifumo ila tayari RPC anajua fedha zilizotaka kuibiwa ni kwa ajili ya uchaguzi!
3.Kwanini Lema ambaye ndio mkuu wa kambi hiyo ya uchaguzi hajakamatwa maana kama mipango ni ya kutenda uhalifu basi Lema ndiye mpishi!


Wadanganyeni wapumbav wasiojielewa,huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine!
Polisi Tanzania ni vinara wa kubambikizia kesi!Ni aibu kwa jeshi kukiingiza kwenye siasa za majitaka,shwain!
 
Yaani wanatuhumiwa kwa kutaka kuingilia mifumo ya kibenki na sio kuingilia mifumo ya kibenki!Hapa ndipo unaona ukilaza wa jeshi letu la polisi!Wanatumika hata kujidhalilisha wao wenyewe!
Angalia sasa hao watuhumiwa,hakuna expert wa IT hapo!
 
Watatengeneza sana kesi za kuwapa Chadema. Ila mwisho ya haya yote ni October 28.
 
Yaani wanatuhumiwa kwa kutaka kuingilia mifumo ya kibenki na sio kuingilia mifumo ya kibenki!Hapa ndipo unaona ukilaza wa jeshi letu la polisi!Wanatumika hata kujidhalilisha wao wenyewe!
Angalia sasa hao watuhumiwa,hakuna expert wa IT hapo!
Nimebaki nashangaa tu...ujaribu kuhack bank? Bank..bank...nani angekuwa maskini sasa
 
CCM na jeshi la polisi wamelaaniwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…