Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Hakimu ni muislam na tukio liliua watu watatu
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Hawa wa Tanga unaweza kuweka kiunganisha cha kesi Yao.
 
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.
Hizi ni fantasy zako tu zikiegemea mrengo wa dini yako,ugaidi wa waislam (extremists) sio Jambo jipya . Kitabu chenu kinaamrisha mashambulizi dhidi ya wasioamini (wakristo/Jews nk),hao masheikh wamefuata amri toka kwenye Qur'an tukufu. Bahati nzuri kidogo Tanzania tuna utawala wa sheria na wameweza kuwahukumu kwa sheria hizo.
 
Kwenu waislamu:

1. Je ni lazima wote tuwe wa dini yenu?

2. Na kama sio kwani ukristo ni adui namba moja kwenu?

3. Kwanini wewe usishughulike ni imani yako, Mungu wako, na misahafu yako?

4. Je, na wasio wakristo au waislamu mnawaweka kundi gani? Adui au rafiki?

Haya sasa kanisa umelipua, watu wameumia au kupoteza maisha.

Je umepata thawabu? Mungu wako kakupandisha cheo? Au majeruhi wamabadilisha dini?
Na kinachowafanya wajiite Waislamu na kupendana wao kwa wao ni kuwepo watu wasio wa dini yao. Wakiwa waislamu pekee bado watatafuna namna ya kubaguana utasikia kuna Washia na Suni nk. Juzi juzi tu hapa walikua wanapelekeana moto wao kwa wao wakiwaona Shia sio waislamu.
 
Kwenu waislamu:

1. Je ni lazima wote tuwe wa dini yenu?

2. Na kama sio kwani ukristo ni adui namba moja kwenu?

3. Kwanini wewe usishughulike ni imani yako, Mungu wako, na misahafu yako?

4. Je, na wasio wakristo au waislamu mnawaweka kundi gani? Adui au rafiki?

Haya sasa kanisa umelipua, watu wameumia au kupoteza maisha.

Je umepata thawabu? Mungu wako kakupandisha cheo? Au majeruhi wamabadilisha dini?
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Qur'an 8:12
 
KWAKO WEWE MTAKATIFU,
UMEWAHI SIA MISIKITI IKICHOMWA MOTO NA WATU KWA HIARI YAO AU KUTUMWA NA IMANI YAO?
SISI UKISEMA YESU SIO MUNGU, MUNGU SIO YESU, YESU KAFIRI, HATA UKICHANA BIBLIA WALA SIO KESI, HAYO NI MATATIZO YAKO.
LAKINI IKIFANYIKA KINYUME NI MWENDO WA HEKA HEKA, MATAMKO NA DUA ZA KIFO, MAANDAMANO, MATUSI , NAJUA UNAJUA ZAIDI.

Sahihi, kwenye hilo la Waislam kuwa super sensitive na dini yao inapodhalilishwa -- lakini kwa mimi lina faida moja kubwa mno.

Imewasaidia sana Waarabu kuheshimiwa na beberu. Foreign Minister Hillary Clinton akitua jangwani anafunga hijabu, anatia adabu!

Mtu anakuheshimu na kukuogopa mpaka anavaa vazi lako hawezi kukuletea haki za LGBT+, hawezi kukusainisha mikataba ya ulaghai, hawezi kujitunisha ndani ya nchi yako.


kwa saab anajua japo huna maguvu ya kijeshi kumzidi you still don't take shit for nothing! Push come to shove utajilipua mfe wote any freaking moment!

Hapo ndipo ninapopiga saluti kwa Muislamu wa Uarabuni. Hawa wa kwetu wa third world hawa Maimuna, Mayasa, Mwarami, aaaahhhh... bado hawajui kutumia dini kutetea maslahi ya nchi.

1000004693.jpg
 
kukaa mahabusu ni utaratibu wa kufanya kesi hasa hizi za jinai uchunguze ufanyike bila kuharibiwa wala kuingiliwa
Nadhani inasaidia Pia Watuhumiwa kuwekwa mbali na jamiii yenye hasira kali,Jamii zetu zinahukumu mkononi hawachunguzi

Kuachiliwa haraka inaweza leta shida kwa mtuhumiwa hasa wale ambao wanakua hawajahusika bali wamesingiziwa.
 
KWAKO WEWE MTAKATIFU,
UMEWAHI SIA MISIKITI IKICHOMWA MOTO NA WATU KWA HIARI YAO AU KUTUMWA NA IMANI YAO?
SISI UKISEMA YESU SIO MUNGU, MUNGU SIO YESU, YESU KAFIRI, HATA UKICHANA BIBLIA WALA SIO KESI, HAYO NI MATATIZO YAKO.
LAKINI IKIFANYIKA KINYUME NI MWENDO WA HEKA HEKA, MATAMKO NA DUA ZA KIFO, MAANDAMANO, MATUSI , NAJUA UNAJUA ZAIDI.

LINI SASA UMESKIA AU UMEONA MUISLAM KACHANA AU KAKOJOLEA BIBLIA??

KWANI NIKISEMA YESU SIYO MUNGU KWAKO NI KOSA??,UKRISTO WENYEWE UNASEMA HIVYO KUWA JESUS IS THE SON OF MARY,HIYO YA KUSEMA YEYE NI MUNGU UMEITOA WAPI??

USHOGA UNAORASIMISHWA NA PAPA UKO VATICAN NI MAFUNDISHO YA UKRISTO??
 
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Qur'an 8:12

Kweli dini ya Magaidi[emoji1430][emoji1430]
 
LINI SASA UMESKIA AU UMEONA MUISLAM KACHANA AU KAKOJOLEA BIBLIA??

KWANI NIKISEMA YESU SIYO MUNGU KWAKO NI KOSA??,UKRISTO WENYEWE UNASEMA HIVYO KUWA JESUS IS THE SON OF MARY,HIYO YA KUSEMA YEYE NI MUNGU UMEITOA WAPI??

USHOGA UNAORASIMISHWA NA PAPA UKO VATICAN NI MAFUNDISHO YA UKRISTO??

Biblia inafafanua Yesu katika nafasi zote. Yeye ni Mungu, ni Mwana wa Mungu katika utatu mtakatifu na ni Mwana wa Adamu na pia ni Simba wa Yuda. Anaplay role zote kwasababu hayupo chini ya sheria. Hilo la Yesu ni Mwana wa Maria halipo. Kinachoelezwa tu ni Maria kupata Neema ya kumbeba Yesu kwa Uwezo wa Roho Mtakatifu.
 
Wauane wenyewe Kwa kugombania Zao sadaka lawama waje wawape waislam hao?mlipuko Gani wa kigaidi usiue hata MTU?Hilo kanisa lenyewe lililoripuliwa halioneshi hata hiyo dalili.
Ulifuatilia huo mkasa ? Hao Masheikh wamekamatwa uongozi wa Nchi ulikua
1. Mh: J.M. Kikwete -Rais
2. Mh: Dr. Mobamed Bilal
3. Ndg: Said Mwema IGP
4. Mh: M.C. Othman Jaji Mkuu
Hukumu imetoka uongozi wa Nchi ukiwa
1. Mh: Dr. S.S.Hassan -Rais
2. Mh: K.M. Majaliwa- Waziri mkuu
3. Mh: Prof. I.H.Juma jaji Mkuu
Hao wote ni Waislamu. Kwenye uongozi wa Nchi hisia hazina nafasi. Hawa wote wangeweka hisia za dini yao mbele wangeingilia hukumu kwa kuwa nguvu ya kufanya hivyo wanayo lakini wameacha sheria iamue.
 
LINI SASA UMESKIA AU UMEONA MUISLAM KACHANA AU KAKOJOLEA BIBLIA??

KWANI NIKISEMA YESU SIYO MUNGU KWAKO NI KOSA??,UKRISTO WENYEWE UNASEMA HIVYO KUWA JESUS IS THE SON OF MARY,HIYO YA KUSEMA YEYE NI MUNGU UMEITOA WAPI??

USHOGA UNAORASIMISHWA NA PAPA UKO VATICAN NI MAFUNDISHO YA UKRISTO??
Papa akirasimisha ushoga kwa wakristo shida inakuwaje kwako muislam?
Lini umemsikia Padre au Pastor akisema Muhammad siyo mtume wa Mwenyezi Mungu japo ukristu haumtambui?
Uungu wa Yesu kwa wakristu una athari gani kwa uislam?
Kwa nini msipractice dini yenu kwa amani huku mkiheshimu imani za watu wengine na haki zao za kuishi?
Ina maana dini yako haiwezi kustawi bila kishambulia imani za wengine!
 
Rais hana mamlaka ya kubadilisha adhabu. Wanaohukumiwa kunyongwa ni kwamba wanasubiri Rais asign tamko la kutiwa kitanzi, kitu ambacho marais wamekua wazito kukifanya. Hivyo mtu anajikuta anatumikia kifungo mpaka umauti.
Umefuatilia msamaha wa Rais juzi kwenye maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru ?
Rais alitoa msamaha kwa wafungwa 263 ambao waliachiwa huru
Wafungwa wawili waliohumukumiwa kifo walibadirishiwa adhabu na kuwa kifungo cha maisha jela. Na wafungwa 1979 walipunguziwa adhabu.
Unasemaje Rais hana mamlaka ya kumbadilishia mfungwa adhabu ?
 
Back
Top Bottom