Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Kwa maoni yako nanuelewa wako hayo uliyoyataja yamo kwenye Ukristu na Imani ya kikristu haifai kuachwa ienee duniani?

Kwamba Imani zingine zinaiona imani yako ni threat kwao ndo maana wanaripua.makanisa na kuchinja watu?
Kwa nini imani yako tu ndo ipewe jina baya wasipewe wahindu,wabudha,wakristu,mayahudi na imani zingine?Kwa sababu ni threat kwa dini nilizozitaja hapo juu inapinga vita,dhulma,ushoga,zinaa,mauaji,pombe na kadhalika. Vipi hizi dini nyingine haziyatambui hayo kama dhambi kasoro nyie tuu?

NICE COMMENT FROM YOU,NIMEIPENDA SANA...

I WILL PUT THIS ALL IN THE SHORTEST TERM KNOWN TO ME,KITU KIZURI NDIYO DAIMA HUPIGWA VITA...

LINI UKRISTO UMEKUWA IMARA KUPINGA KAMARI??LIN UKRISTO NA IMAN ZINGINE ZIMEKUWA IMARA KUPINGA RIBA,POMBE NA ZINAAA NA KADHALIKA??

UISLAM UKIINGIA UKAWEKA SHARIA LAZIMA HIVYO VITU VIPOTEE,NANI ATAKUBALI SUALA HILO??
 
Sijui ni Kwanini lakini haitokaa itokee usikie wachungaji au mapadre wameenda kuua au kufanya uhalifu kwenye dini ya Islam au dini nyingine yeyote.

Actually hiyo ipo automatically. Hata wazo haliwezi kuja vichwani mwao.

Yaani msingi wa ukristo ni Upendo.
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Kutenda kosa kihalali pasi na kusingiwa, kisha mhusika kukamatwa na kupambana na mkono wa sheria ni kuonewa?

Ugaidi ni uharamia ulovuka mipaka, huletea madhara kwa wengine wasio na hatia.

Hukumu ya kutenda kosa la kigaidi kwa sheria za Tz ni kitanzi.

Sasa kuonewa hapo kumetokea wapi?
 
Mkuu kuhusudia kuua na kuua sio kitu kimoja na adhabu yake haiwezi kua moja.
Ndio maana mtu anaweza akaua asihukumiwe.

Ila hawezi kukudia kuua akaachwa,au kukusudia kuua kisha kuua akachwa.

Maana dhamira ndipo ulipo mzizi wa kosa la msingi la mtu.
 
Ndio maana mtu anaweza akaua asihukumiwe.

Ila hawezi kukudia kuua akaachwa,au kukusudia kuua kisha kuua akachwa.

Maana dhamira ndio kosa la msingi la mtu.

Katika mazingira yapi mtu anaweza kuua asihukumiwe mkuu?
 
NICE COMMENT FROM YOU,NIMEIPENDA SANA...

I WILL PUT THIS ALL IN THE SHORTEST TERM KNOWN TO ME,KITU KIZURI NDIYO DAIMA HUPIGWA VITA...

LINI UKRISTO UMEKUWA IMARA KUPINGA KAMARI??LIN UKRISTO NA IMAN ZINGINE ZIMEKUWA IMARA KUPINGA RIBA,POMBE NA ZINAAA NA KADHALIKA??

UISLAM UKIINGIA UKAWEKA SHARIA LAZIMA HIVYO VITU VIPOTEE,NANI ATAKUBALI SUALA HILO??
Ooooh kumbe issue ni sharia?Asalam aleykum
 
Chamsingi wametuonesha njia, na mbegu waliyopanda haitapotea Bure daima. Amin
 
Yahaya Sensei yuko wapi kwa sasa? Namuona sana kwenye maelezo lakini hayupo kwenye list ya watuhumiwa
Huyu alikuwa akiwa anaenda kuonyesha silaha akataka kuwapiga Jeet Kune Do maaskari.
 
Na iwe funzo kuwa ugaidi hauendekezwi nchi hii. Tena wana bahati hata wamefika mahakamani.

Pia ugaidi wao umewaponza wenzao wasio na hatia, miaka 10 gerezani wakiwa hawana hatia yoyote.
Sahihi. Kanisa katoliki pale hawana uhasama wowote na waislamu na kanisa katoliki hawajawafanyia ubaya wowote Kwa Nini walipue kanisa? kisa tu kuwa wamepewa mafunzo potofu ya kiislamu kuwa ukiua kafiri ukiuuawa utaenda peponi ukapewe Mabikra 72 ujinome
Ona Sasa wameumiza wasiohusika Kwa Imani Yao potofu ambayo hufundisha Mafundisho ya ajabu ya kutoishi Kwa utengamano na watu wa Imani nyingine


Nadhani pia ukoo wa akina Lema Kuna shida wanapenda ugaidi wawe wakristo au waislamu Mfano huyo shehe wa Msikiti anaitwa Lema muislamu na God bless Lema Mkristo alishadakwa kwa kesi ya ugaidi Hadi akakimbilia Kanada kama mkimbizi

Ukoo wa Lema ujitafakari Kikao Chao Cha ukoo Krismas hii wajadili Hilo sio zuri kiukoo linajengea ukoo sifa mbaya mno
 
Back
Top Bottom