Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.

Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.

Yaani Rais amesaini hicho kitu?

Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Walikufa watu watatu na target yao ilifeli cz walikua wafe wengi siku hiyo ulikua uzinduzi wa hilo kanisa,maskofu walikuepo
 
KWENU WAISLAMU:
1.JE NI LAZIMA WOTE TUWE WA DINI YENU?
2. NA KAMA SIO KWANI UKRISTO NI ADUI NAMBA MOJA KWENU?
3. KWANINI WEWE USI SHUGHULIKE NI IMANI YAKO, MUNGU WAKO, NA MISAHAFU YAKO?
4. JE NA WASIO WAKRISTO AU WAISLAMU MNAWAWEKA KUNDI GANI? ADUI AU RAFIKI?

HAYA SASA KANISA UMELIPUA, WATU WAMEUMIA AU KUPOTEZA MAISHA.
JE UMEPATA THAWABU? MUNGU WAKO KAKUPANDISHA CHEO? AU MAJERUHI WAMABADILISHA DINI?

Let say that it's true kuwa hao ni masheikh wamelipua,swali kwako Kafiri wewe ni kuwa wamekuambia kuwa uislam ndiyo umewatuma wafanye tukio Hilo??

Tukio Lina zaidi ya miaka kumi,kama ni kweli walikuwa na uhakika kuwa wafanyaji wa tukio Hilo ni hao na waliwashikilia zaidi ya miaka kumi yote iyo,nini kiliwafanya wakose ushahidi kipindi chote Hiko?

Maovu mengi yanafanywa na watu wa Iman zingine,ikiwemo ya kwenu,ndiyo kusema hiyo Iman yenu ndiyo inawatuma?
 
Ndiyo,nilipata High Court Arusha jana jioni,nikamuona yule mama analia( amevaa bai bui),nikauliza analia nini?
Nikaambiwa( na machinga mmoja alikuwepo pale,"Oh,hii ni mahakama. Kama analia itakuwa basi labda mtoto wake amehukumiwa kifungo or something. Unajua,kina mama wana huruma sana"
Halafu nikaondoka pale. Ilielekea kwangu kwamba wahudumu pale mahakamani,wale walinzi, hawakuonyeshwa kupendezewa kwamba nimeuliza.
Ni kama Roman law. Kama mhalifu amehukumiwa,unaruhusiwa kushangilia,lakini hairuhusiwi kuonekana kwamba unaona huruma.
Halafu yule mama akaambiwa,unaweza kwenda ndani kuwatazama,lakini ukifike kule usilie.
Halafu akaja mtu mwingine akasema,no,hawezi kwenda ndani,Askari wanafukuza watu wore.
Ile incident ya zamani sana.
Halafu ni incident gani ugaidi oliyotokea Arusha siku zole ambapo Chadema walitajwatajwa. Ambapo satellite pictures ilidaiwa zimeonyesha Chadema wamefanya jambo fulani.?
Now I understand. Kumbe Chadema ndio walifanyiwa ugaidi Kaloleni
Halafu Mufti wa Waislamu ameitisha sala Ijumaa ijayo.

Msikilize Commander Hatton
He was killed in similar manner to T.E. Laurence “of Arabia” (who crossed swords with the British elite who betrayed the trust of the Arab world and now their deserts are a hotbed of war and great poverty--surrounded by oases of British agents posing as Emirs and reigning princes-
Sowetoi waliofanya ugaidi ni police na wanajulikana,nlikuepo huo mkutano na risasi zilipigwa sana...nkajikuta nimetoka kwenye gari yangu nimeacha simu n mlango wazi nduki kuelekeo kaloleni kma mita 700 ndio nkapumzika...ila police ndio walipiga tukio
 
Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.

Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.

Yaani Rais amesaini hicho kitu?

Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Walikufa watatu
 
Masheikh sita,katika hao ni yupi alilipua?yupi alipanga njama,hukumu ya hiyo kesi ikoje kwanza,hapo lazima Kuna harufu ya uonevu
 
Kama ambavyo baba Askofu mkuu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume pale Geita alivyomtangazia Msamaha yule mtu aliyevunja vitu mbalimbali ndani ya Kanisa Nasi twakuomba uwatangazie Msamaha Mashehe 6 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuchoma Kanisa

Yesu alisema " Baba Uwasamehe hawajui Walitendalo"

Hapa tunazungumzia Msamaha wa Mbinguni ambao unaweza kuponya hata miili yao pia

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
soma walichofanya acha kutumia neno Uonevu vibaya penda kurudi nyuma usome walichofanya.

iwe alikufa mtu au hajafa unahisi wanatofauti gani na wauaji? unahisi lengo lao ilikua kujeruhi?

Binafsi bora uniue kuliko unipe kilema cha kudumu..

Tafakari
 
Kama ambavyo baba Askofu mkuu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume pale Geita alivyomtangazia Msamaha yule mtu aliyevunja vitu mbalimbali ndani ya Kanisa Nasi twakuomba uwatangazie Msamaha Mashehe 6 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuchoma Kanisa

Yesu alisema " Baba Uwasamehe hawajui Walitendalo"

Hapa tunazungumzia Msamaha wa Mbinguni ambao unaweza kuponya hata miili yao pia

Mungu ni mwema wakati wote!
Magaidi lazima yauawe!!! Mtu mzima unakwenda kufanya uhalifi kama huo!!? Wapumbaavu
 
Hivi kweli kesi inakaa zaidi ya miaka kumi mbona hatari hii? Yani wanakuachia wanasema hauna hatia na hapo ushakaa zaidi ya miaka 10? Kwakweli sjui upelelezi wetu ukoje ....
Heri ikae miaka 10 uje uhukumiwe kwa adhabu ya kunyongwa ila kama n adhabu ya miaka nadhani ifike mahali sheria ipitishwe mahabusu atae kaa miaka mi 5 jela kosa lake likiwa la hukumu ya miaka 7 basi ahukumiwe miwili ile mitano awe ashatumikia.

Najua watasema mahabusu hawafanyi kazi wanakaaga tu.
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Kwahiyo mpaka mtu afee ndo liwe kosa??
Huoni kufanya uhalifu Ni kosa??
Nyie wavaa kobazi mnasapoti ugaudi duniani
 

Thanks kwa clarifications na nimeisoma vyema,kwa kina hiyo habari.

Nini kilitokea hadi watuhimiwa washikiliwe kwa kipindi chote hiko??ingawa swali hilo wewe siyo muhusika nalo,pili why wawe watu sita ili hali taarifa inaonesha kuwa alierusha hiko kilipuzi alikuwa ni mshukiwa mmoja??hao sita wanahusika katika angle ipi??

Hizo tuhuma ni kubwa sana why zisiwe na majibu kwa miaka yote hiyo??why haki icheleshwe kupatikana kwa kias hiko na kuna watu wasio na hatia wameuawa??

Mbaya zaidi kichwa cha habari kinasema ni masheikh,implication yake ni kuwa hao ni viongozi wa dini ya kiislam,wanajaribu kucreate kitu gani??
 
Heri ikae miaka 10 uje uhukumiwe kwa adhabu ya kunyongwa ila kama n adhabu ya miaka nadhani ifike mahali sheria ipitishwe mahabusu atae kaa miaka mi 5 jela kosa lake likiwa la hukumu ya miaka 7 basi ahukumiwe miwili ile mitano awe ashatumikia.

Najua watasema mahabusu hawafanyi kazi wanakaaga tu.
kukaa mahabusu ni utaratibu wa kufanya kesi hasa hizi za jinai uchunguze ufanyike bila kuharibiwa wala kuingiliwa
 
Back
Top Bottom