Ndiyo,nilipata High Court Arusha jana jioni,nikamuona yule mama analia( amevaa bai bui),nikauliza analia nini?
Nikaambiwa( na machinga mmoja alikuwepo pale,"Oh,hii ni mahakama. Kama analia itakuwa basi labda mtoto wake amehukumiwa kifungo or something. Unajua,kina mama wana huruma sana"
Halafu nikaondoka pale. Ilielekea kwangu kwamba wahudumu pale mahakamani,wale walinzi, hawakuonyeshwa kupendezewa kwamba nimeuliza.
Ni kama Roman law. Kama mhalifu amehukumiwa,unaruhusiwa kushangilia,lakini hairuhusiwi kuonekana kwamba unaona huruma.
Halafu yule mama akaambiwa,unaweza kwenda ndani kuwatazama,lakini ukifike kule usilie.
Halafu akaja mtu mwingine akasema,no,hawezi kwenda ndani,Askari wanafukuza watu wore.
Ile incident ya zamani sana.
Halafu ni incident gani ugaidi oliyotokea Arusha siku zole ambapo Chadema walitajwatajwa. Ambapo satellite pictures ilidaiwa zimeonyesha Chadema wamefanya jambo fulani.?
Now I understand. Kumbe Chadema ndio walifanyiwa ugaidi Kaloleni
Halafu Mufti wa Waislamu ameitisha sala Ijumaa ijayo.
Msikilize Commander Hatton
He was killed in similar manner to T.E. Laurence “of Arabia” (who crossed swords with the British elite who betrayed the trust of the Arab world and now their deserts are a hotbed of war and great poverty--surrounded by oases of British agents posing as Emirs and reigning princes-