Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Hoa masheikh walikamatwa kwenye utawala wa kikwete tena ni muunini wa dini ya kiislam hukumu imetolewa jana kwenye utawala wa samia dini ni muislam je ingekuwa kipindi cha mkapa na magufuli wangefanya hivo kuna rangi mngeacha, 2013 lile bomu liliua watu, Nakazia kuna wawili wameachiwa huru bado unahisi kunakuoneana hapo?
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wacha wanyongwe tu
 
According to sheria za nchi, na magereza hakuna mahali kuna ainisha kuitwa sheikh flani ni tiket tosha ya kupata msamaha wa rais.
Zanzibar wameachiwa wale wa muamsho waliua mapadri na kuchoma makanisa na huku ni the same ni suala la muda tu
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Walikufa watu 3 Mkuu!
Haya tuambie Mwanasheria, kwa utaalam wako wa Sheria, unataka Wanyongwe watu wangapi!?
 
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.

“Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika”
Umeandika vingi lakini hakuna mahali popote ulipodhibitisha kuwa hawahusiki.
Mahakama inafanya kazi kwa vitendo na uchunguzi.

And ulikuwa wapi kuwasilisha mashauri yako kwenye kesi hii?
 
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.

Ukitanguliza hisia siku zote hekima itakukosa. Hili suala sio la hisia. Ni suala la facts! Ukisema una uhakika hawajafanya lete ushahidi wako hapa. Na kama una uchungu sana na ulikua na uhakika huo ungeenda mahakamani wakati kesi yao inasikilizwa ukatoe ushahidi wako. Otherwise tuache kulialia hapa ili kusukuma siku ziende.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wanaoenda pia kuhubiri chuki.
 
Zanzibar wameachiwa wale wa muamsho waliua mapadri na kuchoma makanisa na huku ni the same ni suala la muda tu

But then nimekuuliza ni sheria ipi inasema ukiwa sheikh bus ww una free ticket ya kuchomoka gerezani? Ni sheria ipi na kifungu gani ime ainisha hivyo?
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
kwa tuliokuwa tunafuatilia kesi, miongoni mwa waendesha mashtaka, walikuwepo mashehe wenzao.
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Huu ni uchochezi. Ww ungesema waliolipua kanisa wahukumiwa kunyongwa.
mtuhumiwa na dini yake ni vitu viwili tofauti.

Jifunze kuandika vizuri ili tuendelee kutunza amani ya nchi.
 
Tena wana wachelewesha,,washenzi sana hao nakumbuka rafiki yetu baba yake alikuwa moja wapo ya m
Afundi..tulikuwa tuna enda marakwa mara kumtembelea alivyokuwa ana jenga,,tena tulipanga siku ya uzinduzi nass tungeenda pa1 ,, nikipata safari nikaondoka nilivyo Rudigi napewa taarifa yule Fulani..Alikufa kwenye mlipuko kanisani olasti,,😥😥 niliskitika sana..nahao mashehe washenzi shenzi.
 
Back
Top Bottom