Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.Hoa masheikh walikamatwa kwenye utawala wa kikwete tena ni muunini wa dini ya kiislam hukumu imetolewa jana kwenye utawala wa samia dini ni muislam je ingekuwa kipindi cha mkapa na magufuli wangefanya hivo kuna rangi mngeacha, 2013 lile bomu liliua watu, Nakazia kuna wawili wameachiwa huru bado unahisi kunakuoneana hapo?
Kutwa Mashekhe ni kigezo toshaKuachiwa au kwa masamaha wa rais kuna vigezo, wengi wenye kesi serious inakuwa ni vigumu mno.
Lazima wa fiti vigezo vya masamaha.
Una utapiamlo mkali wa akili wewe mburura!Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Wacha wanyongwe tuSHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Kutwa Mashekhe ni kigezo tosha
Zanzibar wameachiwa wale wa muamsho waliua mapadri na kuchoma makanisa na huku ni the same ni suala la muda tuAccording to sheria za nchi, na magereza hakuna mahali kuna ainisha kuitwa sheikh flani ni tiket tosha ya kupata msamaha wa rais.
Walikufa watu 3 Mkuu!Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Narudi Dar wiki ijayo.
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.
Mahakama hizi wala haziaminiki.Ikiwa hazikuendeshwa kisiasa basi huathiriwa na mtazamo wa hakimu.
Hukumu yangu ni ya maana zaidi kuliko hiyo iliyotolewa.
Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika.Kama kulikuwa na bomu lilitegwa na vikundi vyengine vya fitina ambavyo wakati wa Kikwete vilipata leseni ya kufanya watakavyo Tanzania.
Magufuli alikuwa adui ya wanasiasa na wapinzani na waislamu lakini mabeberu hakuwaachia kufanya watakavyo.
Kwa hivyo wote hawakujfanya la maana na uadilifu kwa raia lakini fitna za kigaidi zinamuhusu sana Kikwete.Zawadi yake ilikuwa ni kuitembelea Marekani kila baada ya mwezi mmoja na kutiwa funguo.
Wanaoenda pia kuhubiri chuki.SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Zanzibar wameachiwa wale wa muamsho waliua mapadri na kuchoma makanisa na huku ni the same ni suala la muda tu
Wanaipita mada kama vile hawaioni.Mohamed Said na FaizaFoxy mna maoni gani kuhusu hii hukumu?
Mkuu watu wako kazini muda woteDuh!
Hivi kumbe lile tukio la Olasiti kulikuwa na watuhumiwa waliokamtwa!
kwa tuliokuwa tunafuatilia kesi, miongoni mwa waendesha mashtaka, walikuwepo mashehe wenzao.SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Eeeh kwahiyo hapo haki bin haki imetendeka ,na imeonekana kutendekakwa tuliokuwa tunafuatilia kesi, miongoni mwa waendesha mashtaka, walikuwepo mashehe wenzao.
Huu ni uchochezi. Ww ungesema waliolipua kanisa wahukumiwa kunyongwa.SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Uchochezii ganii lazima waitwe kwa vyeo vyaoHuu ni uchochezi. Ww ungesema waliolipua kanisa wahukumiwa kunyongwa.
mtuhumiwa na dini yake ni vitu viwili tofauti.
Jifunze kuandika vizuri ili tuendelee kutunza amani ya nchi.