Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia hizi mahakama siziamini.Na wewe pia naamini ni kama mimi lakini kwa sababu hiyo hukumu inahusu waislamu unaiunga mkono.Ingekuwa aliyehukumia ni Mbowe au kuamua kesi za uchaguzij wala usingeamini,“Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika”
Umeandika vingi lakini hakuna mahali popote ulipodhibitisha kuwa hawahusiki.
Mahakama inafanya kazi kwa vitendo na uchunguzi.
And ulikuwa wapi kuwasilisha mashauri yako kwenye kesi hii?
ingekuwa msikiti umelipliwa ungesema ivo????................"acha unafikiKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Nimekwambia hizi mahakama siziamini.Na wewe pia naamini ni kama mimi lakini kwa sababu hiyo hukumu inahusu waislamu unaiunga mkono.Ingekuwa aliyehukumia ni Mbowe au kuamua kesi za uchaguzij wala usingeamini,
Uchaguzi uliopita wote ulivurugwa wazi wazi lakini mahakama hizi hizi ziliuidhinisha kwamba ulikuwa halali.
Kuna watu walioulizia tu walipo hao masheikh na wao wakaunganishwa au kuwekwa kuzuizini.Huo utaratibu wa kupokea ushahidi utafanya kazi gani.Ni kesi na hukumu za laana tu.
Tusubiri tuone kama kuna mtu atatia saini hiyo hukumu ya kifo.
hauziamini namna gani wakati rais muislam, mapolisi waliowakamata ni waislam walikuwepo, na waendesha mashtaka walikuwepo waislam kabisa, tena mmoja mwarabu. au unataka nini sasa?Nimekwambia hizi mahakama siziamini.Na wewe pia naamini ni kama mimi lakini kwa sababu hiyo hukumu inahusu waislamu unaiunga mkono.Ingekuwa aliyehukumia ni Mbowe au kuamua kesi za uchaguzij wala usingeamini,
Uchaguzi uliopita wote ulivurugwa wazi wazi lakini mahakama hizi hizi ziliuidhinisha kwamba ulikuwa halali.
Kuna watu walioulizia tu walipo hao masheikh na wao wakaunganishwa au kuwekwa kuzuizini.Huo utaratibu wa kupokea ushahidi utafanya kazi gani.Ni kesi na hukumu za laana tu.
Tusubiri tuone kama kuna mtu atatia saini hiyo hukumu ya kifo.
Watakuwa huru wakishanyongwa,wauaji wakubwaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
wewe uhakika unajulia wap au ulikaa ukawahoji, ulikuwepo kwenye tukio? sometimes muwe mna reason vitu vya maana bas msikurupuke na 🤔🤔 nenda kasomee maana ya rufaa halaf uje“Mimi nina uhakika hao masheikh hawakuhusika”
Umeandika vingi lakini hakuna mahali popote ulipodhibitisha kuwa hawahusiki.
Mahakama inafanya kazi kwa vitendo na uchunguzi.
And ulikuwa wapi kuwasilisha mashauri yako kwenye kesi hii?
InshaallahNa ikawe funzo kwa magaidi wengine
Kwa maelezo yako nahisi na wewe ni miongoni mwa waliosomea sheria kwa hivyo unatetea taaluma yako ya dhulmaWw unasema huziamini hizi mahakama , hilo ni wewe
Lakin je una independent body ya kisheria ya kutoa hukumu?
Au una mahakama nyingine?
And kwamba eti kwa vile ni kuislam ndio maana nimeandika hivyo hapana
Mimi nasimama upande wa sheria si upande wa dini. Hata angekuwa mpagani kama kakutwa na kosa basi sheria zichukue mkondo wake
Mtu yoyote regardless dini yake au imani. Ni mwananchi wa tanzania na anawajibika kwa sheria za nchi. Nothing less nothing more
And ulikuwa wapi 10+ years kupeleka mashauri yako mahakamani?
Wanaowahoji wanafanya hivyo kwa kuwatisha na kulazimisha majibu hivyo majibu ya mahojiano nayo ni kazi bure.wewe uhakika unajulia wap au ulikaa ukawahoji, ulikuwepo kwenye tukio? sometimes muwe mna reason vitu vya maana bas msikurupuke na 🤔🤔 nenda kasomee maana ya rufaa halaf uje
Sikutegemea hii kutoka kwako,hongeraSafi sana.......huwezi kuua binadamu mwenzako kwa akili za kijinga hata kidogo....Sijui binadam wengine wanatoaga wapi ubavu wa kudhulumu uhai wa binadam wenzao!!
Ukiuwa kwa upanga na wewe utauliwa kwa upanga.......
Waafrika tunachukiana kwa sababu ya madini ya wazungu na waarab huo ni upuuz kama upuuz mwengine
Gaidi katika ubora wakoKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
kesi ya kuua sio kesi ya kuiba kuku au kumtukana mtu kaka watu wamekaa chini wakaaumiza vichwa na mahakama ipo kusikiliza pande zote ndo maana hata ukienda polisi mtuhumiwa mwenye akili anakwambia maelezo yangu nitayatoa mahakamani 🤔 🤔Wanaowahoji wanafanya hivyo kwa kuwatisha na kulazimisha majibu hivyo majibu ya mahojiano nayo ni kazi bure.
Ni Sheria ndio inayosema hivyoKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.