tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Walikufa watu watatu na target yao ilifeli cz walikua wafe wengi siku hiyo ulikua uzinduzi wa hilo kanisa,maskofu walikuepoWasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.
Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.
Yaani Rais amesaini hicho kitu?
Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
KWENU WAISLAMU:
1.JE NI LAZIMA WOTE TUWE WA DINI YENU?
2. NA KAMA SIO KWANI UKRISTO NI ADUI NAMBA MOJA KWENU?
3. KWANINI WEWE USI SHUGHULIKE NI IMANI YAKO, MUNGU WAKO, NA MISAHAFU YAKO?
4. JE NA WASIO WAKRISTO AU WAISLAMU MNAWAWEKA KUNDI GANI? ADUI AU RAFIKI?
HAYA SASA KANISA UMELIPUA, WATU WAMEUMIA AU KUPOTEZA MAISHA.
JE UMEPATA THAWABU? MUNGU WAKO KAKUPANDISHA CHEO? AU MAJERUHI WAMABADILISHA DINI?
Sowetoi waliofanya ugaidi ni police na wanajulikana,nlikuepo huo mkutano na risasi zilipigwa sana...nkajikuta nimetoka kwenye gari yangu nimeacha simu n mlango wazi nduki kuelekeo kaloleni kma mita 700 ndio nkapumzika...ila police ndio walipiga tukioNdiyo,nilipata High Court Arusha jana jioni,nikamuona yule mama analia( amevaa bai bui),nikauliza analia nini?
Nikaambiwa( na machinga mmoja alikuwepo pale,"Oh,hii ni mahakama. Kama analia itakuwa basi labda mtoto wake amehukumiwa kifungo or something. Unajua,kina mama wana huruma sana"
Halafu nikaondoka pale. Ilielekea kwangu kwamba wahudumu pale mahakamani,wale walinzi, hawakuonyeshwa kupendezewa kwamba nimeuliza.
Ni kama Roman law. Kama mhalifu amehukumiwa,unaruhusiwa kushangilia,lakini hairuhusiwi kuonekana kwamba unaona huruma.
Halafu yule mama akaambiwa,unaweza kwenda ndani kuwatazama,lakini ukifike kule usilie.
Halafu akaja mtu mwingine akasema,no,hawezi kwenda ndani,Askari wanafukuza watu wore.
Ile incident ya zamani sana.
Halafu ni incident gani ugaidi oliyotokea Arusha siku zole ambapo Chadema walitajwatajwa. Ambapo satellite pictures ilidaiwa zimeonyesha Chadema wamefanya jambo fulani.?
Now I understand. Kumbe Chadema ndio walifanyiwa ugaidi Kaloleni
Halafu Mufti wa Waislamu ameitisha sala Ijumaa ijayo.
Msikilize Commander Hatton
He was killed in similar manner to T.E. Laurence “of Arabia” (who crossed swords with the British elite who betrayed the trust of the Arab world and now their deserts are a hotbed of war and great poverty--surrounded by oases of British agents posing as Emirs and reigning princes-
Unajua maana ya kulipuaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Walikufa watatuWasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.
Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.
Yaani Rais amesaini hicho kitu?
Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Huyu jamaa Covax nina wasiwasi na uwezo wake wa kufikiriYani ufanye ugaidi halafu uachiwe huru kwasababu tu watu hawakufa[emoji28][emoji28] umekunywa chai?
Hujajibu swaliKufungwa kwa Kulipua kabisa ni uonevu?
TakbiriiiiiiiiiiKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
Lin walikufa watatu?na kanisa katoliki lisitoe tamko ukizngatia tukio Hilo wamefanya waislam?? Hilo haliwezekaniWalikufa watatu
Wauane wenyewe Kwa kugombania Zao sadaka lawama waje wawape waislam hao?mlipuko Gani wa kigaidi usiue hata MTU?Hilo kanisa lenyewe lililoripuliwa halioneshi hata hiyo dalili.
Lin walikufa watatu?na kanisa katoliki lisitoe tamko ukizngatia tukio Hilo wamefanya waislam?? Hilo haliwezekani
soma walichofanya acha kutumia neno Uonevu vibaya penda kurudi nyuma usome walichofanya.Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
ndio hamna hiyoIpo ila haitekelezwi
Magaidi lazima yauawe!!! Mtu mzima unakwenda kufanya uhalifi kama huo!!? WapumbaavuKama ambavyo baba Askofu mkuu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume pale Geita alivyomtangazia Msamaha yule mtu aliyevunja vitu mbalimbali ndani ya Kanisa Nasi twakuomba uwatangazie Msamaha Mashehe 6 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuchoma Kanisa
Yesu alisema " Baba Uwasamehe hawajui Walitendalo"
Hapa tunazungumzia Msamaha wa Mbinguni ambao unaweza kuponya hata miili yao pia
Mungu ni mwema wakati wote!
Heri ikae miaka 10 uje uhukumiwe kwa adhabu ya kunyongwa ila kama n adhabu ya miaka nadhani ifike mahali sheria ipitishwe mahabusu atae kaa miaka mi 5 jela kosa lake likiwa la hukumu ya miaka 7 basi ahukumiwe miwili ile mitano awe ashatumikia.Hivi kweli kesi inakaa zaidi ya miaka kumi mbona hatari hii? Yani wanakuachia wanasema hauna hatia na hapo ushakaa zaidi ya miaka 10? Kwakweli sjui upelelezi wetu ukoje ....
Kwahiyo mpaka mtu afee ndo liwe kosa??Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa.
kukaa mahabusu ni utaratibu wa kufanya kesi hasa hizi za jinai uchunguze ufanyike bila kuharibiwa wala kuingiliwaHeri ikae miaka 10 uje uhukumiwe kwa adhabu ya kunyongwa ila kama n adhabu ya miaka nadhani ifike mahali sheria ipitishwe mahabusu atae kaa miaka mi 5 jela kosa lake likiwa la hukumu ya miaka 7 basi ahukumiwe miwili ile mitano awe ashatumikia.
Najua watasema mahabusu hawafanyi kazi wanakaaga tu.