Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
Only in Tanzania unakamatwa ukiwa kwenye majukumu unapelekwa polisi na baadaye unaambiwa tulikupa lift tu.
Labda wameshazichukua hizo rambirambi na kuzipeleka kwa Bwana mkubwa kwani ndio mshika bakuli na mgawaji.
Oh my foot.
Labda wameshazichukua hizo rambirambi na kuzipeleka kwa Bwana mkubwa kwani ndio mshika bakuli na mgawaji.
Oh my foot.
Jeshi la Polisi limesema, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ndiye aliyetoa amri ya kukamatwa kwa walioenda kutoa salamu za rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent leo.
====
UPDATES:
Waandishi zaidi ya 8 waliokamatwa Arusha leo ktk utoaji rambirambi kwa Lucky Vicent wameachiwa, Polisi wawaambia waliwapa lift tu.