barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kabisa, watafuta kiki wote na wazushi wako ktk tight wire!kuna watu mda wao ni mchache sana Wa kuishi huwezi ukafanya mambo ya kijinga Halafu Mungu akakuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, watafuta kiki wote na wazushi wako ktk tight wire!kuna watu mda wao ni mchache sana Wa kuishi huwezi ukafanya mambo ya kijinga Halafu Mungu akakuacha
believe when i saymkuu ya kweli hayo ya mulongo?
Soma tena ulichoandika!Hv unaweza pewa lift bila hiari yako???Sasa kumbe wamepewa lifti kwa kukimbilia kupata habari nyie mnaongea mengine ha ha haaaa
Mapaparazi wa Tanzania, wataanza kutunga uongo tunausubiri na nini kingine press conf. Na mlio na muda wa udaku mtawasikiliza...eeeeeh
Nakuombea yakukute ili uje ujieleweKama ndo waandishi hawa hawa wachochezi inatakiwa wapigwe na viboko kabisa...alafu walale central wiki mbili wakila pumba na maji...hakuna kulemba hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hii ni hatari Watanzania hatuna uzoefu wa kuomba kibali Polisi ili ukahudhurie msiba au mazishi, lakini kwa utawala huu wa Kidikteta dalili hizi tunaziona. Tatizo la dikteta magufuri anawaza mikusanyiko ya watu yana nia mbaya na utawala wake wakati si kweli. Yeye asubiri 2020 tufanye yetu kwenye sanduku la kura hatuna haja kufikiria utawala wakeMstahiki Mayor wa Jiji , Paroko , Mchungaji , Waandishi wa habari 7 , wamekamatwa leo na Jeshi la Polisi wakiwa Shuleni Lucky Vicent ambako Mayor alialikwa na Umoja wa Shule binafsi Tanzania , waliopenda kutoa rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa badala ya kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa .
Wazazi waliokuwa hapo wamepatwa na taharuki kubwa baada ya kuona viongozi hao wanachukuliwa bila sababu yoyote ya msingi , mpaka sasa wako Polisi wanaambiwa walikuwa na mikusanyiko isiyo halali .
Nafikiri tunachoka sana . Mungu mpaka lini mambo haya ?
======
UPDATES: 1
Waandishi waliokamatwa na jeshi la polisi Arusha kwa madai tulihudhuria kikao ambacho hakikua na kibali katika shule ya Luck vincent ambapo shirikisho la wamiliki wa shule binafsi walikuwa wanaendwa kutoa rambirambi. Sisi tulipata taarifa tukaenda kufanya kazi.
1 .Godfrey Thomas -ayo tv
2.King Alphonce Saul Kusaga
3.Filbert Emmanuel -mwananchi
4.Husein Tuta ITV
5.Joseph Ngilisho -Sunrise radio
6.Geofrey Stephen -Radio 5
7.Janeth Mushi -Mtanzania
8.Zephania Ubwani -The Citizen
9.Elihuruma Yohani -mwakilishi wa Tanzania Daima
10.Idd Uwesu - Azam Tv
UPDATES; 2
Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.
UPDATES;
Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Chanzo: Mwananchi
DJ ni nani? Na yeye ni nani mpaka umtumie kama kigezo? Na maneno hasa (verbatim) aliyotumia ni yapi? Wapi? Tarehe gani? Kati muktadha gani?Ndo utawala tulioutaka, kama una kumbukumbu hata dj alisema anamtaka Magufuli type!
Gambo rambirambi alizoiba hazimtoashiiMstahiki Mayor wa Jiji , Paroko , Mchungaji , Waandishi wa habari 7 , wamekamatwa leo na Jeshi la Polisi wakiwa Shuleni Lucky Vicent ambako Mayor alialikwa na Umoja wa Shule binafsi Tanzania , waliopenda kutoa rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa badala ya kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa .
Wazazi waliokuwa hapo wamepatwa na taharuki kubwa baada ya kuona viongozi hao wanachukuliwa bila sababu yoyote ya msingi , mpaka sasa wako Polisi wanaambiwa walikuwa na mikusanyiko isiyo halali .
Nafikiri tunachoka sana . Mungu mpaka lini mambo haya ?
======
UPDATES: 1
Waandishi waliokamatwa na jeshi la polisi Arusha kwa madai tulihudhuria kikao ambacho hakikua na kibali katika shule ya Luck vincent ambapo shirikisho la wamiliki wa shule binafsi walikuwa wanaendwa kutoa rambirambi. Sisi tulipata taarifa tukaenda kufanya kazi.
1 .Godfrey Thomas -ayo tv
2.King Alphonce Saul Kusaga
3.Filbert Emmanuel -mwananchi
4.Husein Tuta ITV
5.Joseph Ngilisho -Sunrise radio
6.Geofrey Stephen -Radio 5
7.Janeth Mushi -Mtanzania
8.Zephania Ubwani -The Citizen
9.Elihuruma Yohani -mwakilishi wa Tanzania Daima
10.Idd Uwesu - Azam Tv
UPDATES; 2
Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.
UPDATES;
Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Chanzo: Mwananchi
Nikuulize wewe, jasho lote la kamanda wako la nini??Chenye faida kwa taifa ni kipi katika sakata hili?
Soma tena ulichoandika!Hv unaweza pewa lift bila hiari yako???
Hivi siku hizi tuna raslimali za kuchezea namna hii..??UPDATES; 2
Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.
Na serikali ilishafanya manjonjonyake yote tayari moaka Makamu wa Rais akawepo.Lakini sioni mantiki ya kulazimisha rambirambi kuratibiwa na serikali hasa kwa issue kama ya Luck Vincent kwa kuwa shule ipo na inawafahamu vyema wazazi kuliko hiyo serikali.
Jazaba ipi? Kisa una akili fupi ka nukta ndo jazba hiyo??punguza jazba
Huu ni Aina ya Udikteta na ushamba wa hali ya juu kwani kwenda kutoa pole ni dhambi? hao polisi huenda hawana vyeti