ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Kutoa rambirambi ni matakwa ya mtu binafsi na hauwezi kumpangia mtu namna ya kutoa rambirambi. Za kwanza mlizila na hizi kidogo mnataka kula tena?
 
Kamanda wa police arusha anasema waandishi wa habari hawakukamatwa bali walipewa lifti waandishi wanasema tulikua na magari yetu na yamebaki shuleni
 

Mmekula rambirambi mmeona haitoshi mmewakamta na watoa rambirambi.

Hakika huu ndio "UONGOZI UNAOACHA ALAMA."
 
Huwezi kumpangia mtu jinsi ya kutumia hela yake. Period.
 
Serikali hii ina penda kufatilia vitu vya ajabu sana.kama watoto vile.unaweza ukajiuliza hawa wazima kweli?
Jeshi la polisi ndo kabisaaaa.
Twendeni/nendeni huku wanaenda tu.inasikitisha sana

Wanapenda kufanya hivyo,halafu wakilalamikiwa wanajiona wanadharaulika
 
Nachokijua upinzani wajiandae kisaikolojia uchaguzi ujao kuna wabunge watatangazwa kwa lazima hata kama watakua waneshidwa kwa namana police tunavyokwenda nayo
 
Pale unapojaribu kuzima moto kwenye nyumba ya nyasi kwa kutumia mafuta ya petrol. .. sikuzote mwisho wa ubaya huwa ni aibu tu.
 
Mwendawazimu anapopewa dhamana ya kuongoza watu. Huyu RC kipo anachotafuta. Uongozi ni karama.
 
Vipi unahisi mambo ya Kibiti yanaweza kusambaa hadi AR?
Hatuombei iwe hivyo lakini pia yakitokea usishangae coz hivi pia ni viashiria vya kuelekea huko. Nadhani tutumie nguvu zetu zote kukemea vitu kama hivi.

Mungu ibariki Tanzania, uwape hekima zaidi watawala wa awamu hii.
 
Mmekula rambirambi mmeona haitoshi mmewakamata na watoa rambirambi.

Hakika huu ndio "UONGOZI UNAOACHA ALAMA."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…