Atoe jibu gari ya St Vincent haikuwa na bima majeruhi na wafiwa atawasaidiaje kulipwa fidia na mumiliki wa hiyo shule. Waandishi wa habari mkomalieni lema aeleze anawasaidiaje kupata fidia zao. Mtoleeni uvivu.Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza baada ya Meya wa Arusha kukamatwa na Polisi maeneo ya shule ya Lucky Vincent.
MSIKILIZE
Kwatumee ileee ileee ya anko lubuu ??? Thubutuuu yakookitaeleweka hatutofanya makosa...
Viongozi wa dini wameshaachiwa muda huu baada ya mahojiano kumalizika
Dah kwa akili hz kila mtu atafute maendeleo yake binafsi. Itakuwa vigumu sana kuendelea kwa pamoja kama nchi.Kipindi ambacho watoto wetu wanahitaji wataalam wa tiba za saikolojia ili kuwapa nasaha baada ya kupoteza marafiki zao, wanasiasa wapumbavu wanatafuta umaarufu!
Wale watoto akili zao hazijakaa vizuri, ugeni wa watu ambao sio wale waliozoeleka hapo shuleni vinaamsha majonzi upya! Wanasiasa acheni uharamia na tamaa!
Nimetafuta tusi zito limekosa,........Mungu nipe moyo wa uvumilivu!
hahahahahahah we haujajua kwamba Lubu naye kamchoka magu!...kitaelewekaKwatumee ileee ileee ya anko lubuu ??? Thubutuuu yakoo
Meya na madiwani bado wanaendelea na mahojiano sababu bado hazijatolewa labda wao walipewa lift kama sisiKwa hiyo wamebaki Mayor na Madiwani??AU issue ilikuwa kumweka Mayor ndani??
Tunatafakari hatua za kuchukuaPia na RPC aliye wadhihaki kwamba mmepewa lift. Hili sio jambo la kutafakari. Ni jambo la kuchukulia hatua. Kwamba nyie ni watu wa lift... Dharau hizoo
Kamanda wangu nani? Nilikuwa sijuikwamba nina kamanda.Nikuulize wewe, jasho lote la kamanda wako la nini??
Meya na madiwani bado wanaendelea na mahojiano sababu bado hazijatolewa labda wao walipewa lift kama sisi
It will never happen!hahahahahahah we haujajua kwamba Lubu naye kamchoka magu!...kitaeleweka
Hivi kuna mtu ambaye hajachoka!! mods leteni ban haraka tena maanake mimi nimejizuia mno kuwatukana hawa umbwaMstahiki Mayor wa Jiji , Paroko , Mchungaji , Waandishi wa habari 7 , wamekamatwa leo na Jeshi la Polisi wakiwa Shuleni Lucky Vicent ambako Mayor alialikwa na Umoja wa Shule binafsi Tanzania , waliopenda kutoa rambi rambi moja kwa moja kwa wafiwa badala ya kupitia ofisi ya Mkuu wa Mkoa .
Wazazi waliokuwa hapo wamepatwa na taharuki kubwa baada ya kuona viongozi hao wanachukuliwa bila sababu yoyote ya msingi , mpaka sasa wako Polisi wanaambiwa walikuwa na mikusanyiko isiyo halali .
Nafikiri tunachoka sana . Mungu mpaka lini mambo haya ?
======
UPDATES: 1
Waandishi waliokamatwa na jeshi la polisi Arusha kwa madai tulihudhuria kikao ambacho hakikua na kibali katika shule ya Luck vincent ambapo shirikisho la wamiliki wa shule binafsi walikuwa wanaendwa kutoa rambirambi. Sisi tulipata taarifa tukaenda kufanya kazi.
1 .Godfrey Thomas -ayo tv
2.King Alphonce Saul Kusaga
3.Filbert Emmanuel -mwananchi
4.Husein Tuta ITV
5.Joseph Ngilisho -Sunrise radio
6.Geofrey Stephen -Radio 5
7.Janeth Mushi -Mtanzania
8.Zephania Ubwani -The Citizen
9.Elihuruma Yohani -mwakilishi wa Tanzania Daima
10.Idd Uwesu - Azam Tv
UPDATES; 2
Waandishi wa habari waliokamatwa Arusha leo katika utoaji wa rambirambi shule ya Lucky Vincent wameachiwa, polisi waliwaambia waliwapa lift tu.
UPDATES: 3
Kaimu RPC wa Arusha Yusuph Ilembo amesema watu wote waliokamatwa leo shuleni Lucky Vincent ni utekelezajiwa wa agizo la RC wa Arusha Mrisho Gambo
UPDATES;
Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Chanzo: Mwananchi
Wee ndo hamnazo kabisa hao viongozi walienda kula au kusaidia kumbe nyie maccm ndo tabia yenu mkiona misiba hata nyumbani hamuachi hela ya mboga, yaani hata aibu huoni eti viongozi wangekula nini,,
Hivi wakati mwingine unasoma ulichoandika kabla hujapost?