ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza baada ya Meya wa Arusha kukamatwa na Polisi maeneo ya shule ya Lucky Vincent.
MSIKILIZE
Atoe jibu gari ya St Vincent haikuwa na bima majeruhi na wafiwa atawasaidiaje kulipwa fidia na mumiliki wa hiyo shule. Waandishi wa habari mkomalieni lema aeleze anawasaidiaje kupata fidia zao. Mtoleeni uvivu.
 
Sijutii kutoipigia kura CCM toka nifikishe umri sahihi wa kupiga kura... hakuna marefu yasiyo na ncha. Shame
 
Dah kwa akili hz kila mtu atafute maendeleo yake binafsi. Itakuwa vigumu sana kuendelea kwa pamoja kama nchi.
1. Hv ukipewa rambirambi na mtu usiyemjua unaathirika kisaikolojia?
2. Hv raia kutembelea shule tena ambayo inataarifa ya ugeni kunahitaji kibali cha RC ama polisi?
3. Ni mara ngapi watu wanatembelea shule na kutoa misaada ama hospitali kutoa pole misaada? Je huwa wanapewa vibali na ma-RC ama polisi?
4. Hv siku hz ukifiwa unahitaji wataalamu wa saikolojia badala ya pole?
5. Kumbe wale watoto wa lucky vicent na shule zingine waliokuwa pale sheikh amri abeid walihitaji wataalamu wa saikolojia badala ya kupewa pole na waheshimiwa na raia wengine waliokuwa pale kuaga?
Dah najiuliza mengi kwa hii comment yako nakosa majibu. Hv kwann siasa inatufanya wajinga kiasi hiki? Kwann tunafikiria kwa kutumia siasa badala ya akili?
 
Kwa hiyo wamebaki Mayor na Madiwani??AU issue ilikuwa kumweka Mayor ndani??
Meya na madiwani bado wanaendelea na mahojiano sababu bado hazijatolewa labda wao walipewa lift kama sisi
 
Compensation ni lazima, shule iuzwe awalipe wazazi wa majeruhi na waliofiwa, gari haikuwa na bima, aasalale jamani!
 
Pia na RPC aliye wadhihaki kwamba mmepewa lift. Hili sio jambo la kutafakari. Ni jambo la kuchukulia hatua. Kwamba nyie ni watu wa lift... Dharau hizoo
Tunatafakari hatua za kuchukua
 
Meya na madiwani bado wanaendelea na mahojiano sababu bado hazijatolewa labda wao walipewa lift kama sisi

Sasa hao wengine wameulizwa nini??Au Mla RAmbirambi alizitaka rambirambi akafanye nazo karamu??
 
Hivi ni nini maana halisi ya rambi rambi. Utampangiaje mtu hela zake ambazo anatoa kwa ihari.

Rip watoto..... sio nia yetu kuendelea kulumbana kwa ajili ya swala lenu.
 
Hivi kuna mtu ambaye hajachoka!! mods leteni ban haraka tena maanake mimi nimejizuia mno kuwatukana hawa umbwa
 
Wee ndo hamnazo kabisa hao viongozi walienda kula au kusaidia kumbe nyie maccm ndo tabia yenu mkiona misiba hata nyumbani hamuachi hela ya mboga, yaani hata aibu huoni eti viongozi wangekula nini,,

Pesa ipo over 50m hiyo haijabaki!? Mnalalamikia kiasi kidogo mnachotamani mpewe ha ha aaaaa

Semeni mengine inatia aibu nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…