ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Eleza vizuri lazima kuna sababu sio kuleta mambo nusunusu.
 


Majukumu yao ya kazi!! ngoja wakaeleze huko walikuwa wanafanya kazi gani pale shuleni.
 
Nilitaka kwenda kutoa. Lakini kwa hali hii siende?
 
Wacha wakamatwe wanataka kufanya siasa msibani
 
Kama ndo waandishi hawa hawa wachochezi inatakiwa wapigwe na viboko kabisa...alafu walale central wiki mbili wakila pumba na maji...hakuna kulemba hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hapa kuiba rambirambi tu sio eeh
kwaio mnaomba jwa udi na uvumba ajali nyingine itokee ili muendele kufaidi rambirambi
 
Labda wanataka kodi kwenye hiyo 18 milioni.!

Hii nchi bwana.
 
Hapa kuiba rambirambi tu sio eeh
kwaio mnaomba jwa udi na uvumba ajali nyingine itokee ili muendele kufaidi rambirambi
Hayo ni maombi yako.....ili upate kiki ya mtaani....
 
Kama vipi na yeye asusiwe na vyombo vya habari. Ananyanyasaje waandishi wa habari bana!
 
Siasa za ccm ni za kishamba sana ! Hivi wanadhani watatumia polisi hadi lini ? Ni bora Kinana alivyoamua kujiuzuru tu kuepuka aibu .
 
Naona kuna ukweli kwamba Mrisho Gambo kapiga pesa za rambirambi. Sasa ameamua kujilinda dhidi ya wanaotaka kumuumbua kwa kuanza kuwakamata na kuwasweka lupango. Hii ni AIBU kwa dola.
Hivi ulidhani tuhuma hizo ni za kughushi ? Mkuu lengo la ccm kwenye nchi hii ni kuhakikisha watanzania mnabaki mifupa mitupu , hawajawahi kuwa na huruma .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…