Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

Yaani nimesikia mpaka matumbo yananicheza, wanaume wanavyopigika meaning na maisha, harafu urudi nyumbani upewe kipigo na mkeo!hayo ni maumivu square!
Kama kuna mtu ameishawahi kuona bodaboda wa kike usiku mzito saa 7 saa 9 usiku akiwa amelala juu ya boda!
Vipi kuwahi kusikia wachimbaji wadogo wamefukiwa na mgodi,wanawake ni wangapi!?
Yaani ningekuwa ni polisi hapo Arusha, huyu Dada angenikoma huko romance, ningehakikisha natindua malinda mpaka avae nepi maisha yake yote,
It's so painful
 
Mafundi ujenzi wengi wa Chugastani wanakunywa saba pombe na ndio maana ilikua rahisi kwa huyu mwanamke kufanya atakalo ukimpiga mtu akiwa amelewa ni kujitafutia tatizo lingine..
 
Na hao watoto waliokuwa wanashirikiana na mama yao kumpiga baba yao na kumsachi siamini kama ni watoto wa jamaa.
Nawashauri hata wazazi wa marehemu wawakatae kabisa hao mashetani.
Nam nihis syo wake ndoma mana taarifa inasema kazaa nae. Watoto kazaa haitaji idad
 
Utampigaje mwanamke mwenye tako
Mwenye tako hapigwi bwana....huyo ni kumtomberrr na kumka ya kwa maneno.
Bby qashy usirudie tena tabia hii ya kuchukua atm card yangu pasipo kunipa taarifa sawa mammy.
Haya ebu leta wallet yangu hapo kuna laki....asante kwa hizi bao tatu tamuuuu
 
Ndio kila mara we anapigwa na avumilie tyuh? Huu ni uongo kubalini jamaa hakua na nguvu kumzidi mkewe, ndo maana akawa anabondwa.
 
Haya mawazo ya maskini😹
Mwenye tako hapigwi bwana....huyo ni kumtomberrr na kumka ya kwa maneno.
Bby qashy usirudie tena tabia hii ya kuchukua atm card yangu pasipo kunipa taarifa sawa mammy.
Haya ebu leta wallet yangu hapo kuna laki....asante kwa hizi bao tatu tamuuuu
 
Habari zingine kama "comedy"
Unasoma huku unacheka
 
Pole kwa familia ya marehemu. Ila hii kitu wanaume wengi wananyamaza sababu jamii iko upande wa mwanamke siku zote
 
Sio mkewe tu aliyekuwa anampiga.Walimpiga,pamoja na watoto wake wa kiume.Mmoja anasoma chuo Singida na mwingine sekondari.Sio tukio la siku moja alikuwa anachezea kichapo mara nyingi tu. Hapo ya kabla ya kifo chake alikuwa anaendelea na matibabu kwa vipigo vilivyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…