Arusha: Mtoto anyongwa na Mfanyakazi wa ndani

Arusha: Mtoto anyongwa na Mfanyakazi wa ndani

Lipeni mishahara mabinti wa kazi, acheni kuwapa kazi nyingi na matusi juu.

Msipobadilika mtapata tabu sana.

Mpende binti wa kazi kama mwanao!
 
Lipeni mishahara mabinti wa kazi, acheni kuwapa kazi nyingi na matusi juu.

Msipobadilika mtapata tabu sana.

Mpende binti wa kazi kama mwanao!
Mkuu hoja yako nzuri lakini kwa huyu hata ungelipa debe la dhahabu bado angefanya. Tunaambiwa amefanya kwa Imani za kishirikina.
Mishahara na upendo haviwezi kusitisha maagano ya kishetani ni nguvu za Mungu tu ndo zinaweza.
 
Lipeni mishahara mabinti wa kazi, acheni kuwapa kazi nyingi na matusi juu.

Msipobadilika mtapata tabu sana.

Mpende binti wa kazi kama mwanao!
Inaonekana bado unakaa kwa wazazi wako that's why unaongea mavi mavi kua ujionee mwenyewe
 
Mtu aoshe mavi ya Mwanao ww upo kwenye tv bize na kazi zako mshahara wa tsh 40,000 umzungushe kumlipa maneno ya kumsimanga eti alikuja kakonda sasahivi amenenepa kwa misosi ya kwako. Muache hizi tabia wanandoa aisee. Wasipoua watoto wenu kunadawa inachanganywa watawapa toto linanenepa alafu linakua zezeta. Amkeni
 
Natamani niondoke kazini nikakae na mwanngu[emoji134][emoji134]nimeogopa.
 
housegirl wengi wananyanyaswa na hawapati mishahara yao kwa wakati,inapelekea kuwa na hasira mda wote,
my note wenye nyumba jua kuwa housegirl ni kama sehemu ya familia.
 
Lipeni mishahara mabinti wa kazi, acheni kuwapa kazi nyingi na matusi juu.

Msipobadilika mtapata tabu sana.

Mpende binti wa kazi kama mwanao!
Ulishawahi kuishi na mschana wa kazi??
 
Ulishawahi kuishi na mschana wa kazi??
Tena ninaishi nao kama wadogo zangu. Hao mabinti ni kuishi nao kwa akili. Hizo kazi wanafanya sio kwa kupenda ni umaskini tu hivyo wanahitaji upendo sana. Kuna mmoja aliweka mtoto wa bosi kwenye OVEN akawasha akasepa, mwingine kwenye friji/freezer.

Pia wapo wengine ni WASHIRIKINA tu ishi nao kwa upendo huku ukimuomba Mungu.
 
Back
Top Bottom