bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Usingesikia mauaji hayo,ukiwa na dini shetani hakugusiHawa ni waumini wazuri wa dini watu tusio na dini hatuna hizo mishe .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingesikia mauaji hayo,ukiwa na dini shetani hakugusiHawa ni waumini wazuri wa dini watu tusio na dini hatuna hizo mishe .
😁😁Watu wa dini bhana huwa mnafurahisha sana.Usingesikia mauaji hayo,ukiwa na dini shetani hakugusi
Dini ina kataza dhambi😁😁Watu wa dini bhana huwa mnafurahisha sana.
Manka kaua kama Musa ,Eliya na kina daudi walivyo ua tu .Dini ina kataza dhambi
Manka kaingiwa na roho ya LilithManka kaua kama Musa ,Eliya na kina daudi walivyo ua tu .
Siku hizi nawe umekuwa mwafilosofia matata sana. Congrats!Kuna watu kwenda Mbinguni hawataki kabisa..!
Mjinga mpe cheo, ili kuepuka mikosi kama hii ya kwenda jela![]()
Umtag nani?Siku hizi nawe umekuwa mwafilosofia matata sana. Congrats!
Nataka nimtag aje aone, ila nasita.
Akuna cha roho 😁😁 manka ni mjeuri tu au ana shida ya akili😁Manka kaingiwa na roho ya Lilith
Wanawake wote walioko Arusha wanatakiwa wakaishi Musoma halafu wanawake walioko Musona wahamie Arusha; wanawake wa Arusha ni makatili na hawaendani na Arusha halafu wanawake wa Musoma ni wapole hawaendani na MusomaTukio hilo limetokea katika kijiji cha Ambureni kata ya Ambureni wilayani Arumeru baada ya Mwanamke mmoja ajulikanae Kwa jina la Manka kumshambulia kwa kipigo mwanamke ajulikanae Kwa jina la Rogata Nkya ambae Kwa sasa ni marehemu kisa kuokota kuni shambani kwake Mtuhumiwa.
Mdogo wa marehemu ajulikanae Kwa jina la Monica Nkya ameeleza jinsi hilo tukio lilivotokea kuwa marehemu dadake alienda bombani kuteka maji na kukutana na mtuhumiwa ambae ni Manka na kuanza kumtuhumu marehemu kuingia shambani kwake kuokota kuni ndipo ugomvi mkubwa uliibuka kati yao na kuanza kumpiga marehemu kwa kutumia mawe na fimbo za mgongoni ,kichwani na tumboni.
Rogata alirudi nyumbani na baadae alifariki dunia.
Baba wa marehemu Mzee Nkya amesema Tabia ya Manka mtaani ni ya ugomvi ugomvi kila mara na ameomba Serikali kusimama kwenye haki.
ChaiTukio hilo limetokea katika kijiji cha Ambureni kata ya Ambureni wilayani Arumeru baada ya Mwanamke mmoja ajulikanae Kwa jina la Manka kumshambulia kwa kipigo mwanamke ajulikanae Kwa jina la Rogata Nkya ambae Kwa sasa ni marehemu kisa kuokota kuni shambani kwake Mtuhumiwa.
Mdogo wa marehemu ajulikanae Kwa jina la Monica Nkya ameeleza jinsi hilo tukio lilivotokea kuwa marehemu dadake alienda bombani kuteka maji na kukutana na mtuhumiwa ambae ni Manka na kuanza kumtuhumu marehemu kuingia shambani kwake kuokota kuni ndipo ugomvi mkubwa uliibuka kati yao na kuanza kumpiga marehemu kwa kutumia mawe na fimbo za mgongoni ,kichwani na tumboni.
Rogata alirudi nyumbani na baadae alifariki dunia.
Baba wa marehemu Mzee Nkya amesema Tabia ya Manka mtaani ni ya ugomvi ugomvi kila mara na ameomba Serikali kusimama kwenye haki.
Kabisa KakaNi wakati sasa jamii yetu ilichukulie kwa uzito unaostahili hili tatizo la afya ya akili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo unaona bora uwe wa kupigwa mpaka ufe kama huyo marehemu...?
Asante mumyKuna watu kwenda Mbinguni hawataki kabisa..!
Mjinga mpe cheo, ili kuepuka mikosi kama hii ya kwenda jela![]()
Ukiwa na dini uwi ujeuri na shida ya akili.Akuna cha roho 😁😁 manka ni mjeuri tu au ana shida ya akili😁
Dini haiwezi kukufanya uwe na tabia fulani ila inaweza kukufanya uwe mfuasi wake ,tabia zinatokana na malezi na makuzi.Ukiwa na dini uwi ujeuri na shida ya akili.
Aristotle, Plato, Socrates na Confucius, mkuu.Umtag nani?
Ndiye naniAristotle, Plato, Socrates na Confucius, mkuu.
Hawa uliowataja unawafahamu kama nani?Manka kaua kama Musa ,Eliya na kina daudi walivyo ua tu .
Nje ya dini hakuna malezi memaDini haiwezi kukufanya uwe na tabia fulani ila inaweza kukufanya uwe mfuasi wake ,tabia zinatokana na malezi na makuzi.
Wahusika wa kwenye hadithi .Hawa uliowataja unawafahamu kama nani?