min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Dini tanzania ilianza miaka ipi?Nje ya dini hakuna malezi mema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini tanzania ilianza miaka ipi?Nje ya dini hakuna malezi mema
Umefikiri sawasawa kweli?
Hadithi ipi?Wahusika wa kwenye hadithi .
Wewe umefikiri ni ipi ?Hadithi ipi?
Kabla ya ujio wa wakoloniDini tanzania ilianza miaka ipi?
Hadithi ipi?Wewe umefikiri ni ipi ?
Hahahahha sawaKabla ya ujio wa wakoloni
Na dhamana hakuna sasa jamaa za familia yako ndio zinaumia .Mambo ya ugomvi hapana bora kuonekana mjinga , hapo utakuta kaguswa tu wala sio kipigo heavy ..Tayari kesi ya mauaji.
Nilikuwa naitafuta hii commentMh? Wachaga tena? Mnakwama wapi?