Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
we jamaa sijui unaongea nini. tukana yote, ujambazi, ukatili, wizi, utapeli n.k kwa arusha lakini sio ufukara. kati ya mikoa ambayo watu wengi wana pesa arusha mojwapo. ila ushoga naona umehamia kwa watoto wa kiarusha arusha labda kwasababu wanaanza kuzurura mtaani na kutafuta maisha wakiwa wadogo sana na watu wanawarubuni. pia jamii ya kichaga siku hizi sio moshi tu popote walipo wachunge watoto wao, mashoga wengi sana toka kabila hilo. siri ni kutafuta maisha, penda sana makafara na madawa ya kutafuta pesa kumbe unaondoa nyota ya watoto wako na kuwatoa kafara watoto kwenye maroho machafu bila hata wewe kujua. Mungu iokoe Tanzania.Arusha hakuna hela .
Arusha uchawi na makafara yamezidi tena watoto wengie wametolewa uhai kipindi ya machimbo ya mawe wake za watu wameacha familia zao kosa pesa .
Arusha maskini wengi maana warusha wachawi kama nini .
Pili hawapendi maendeleo ya watu .
Ukinunua shamba au kisehemu kwako wanakusumbua hadi basi .
Arusha ni mkoa wa ziki kama huamini hama uende mahali pengine dar utafanikiwa kama umefuata hela ilansio mkoa rahisi kihivyoo uchawi ni dili huko kabisa.
Jingine Arusha hakuna hela ukifanikiwa Arusha ni umeaga kwenu