APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #41
OggJirani Chaliifrancisco. Pitia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OggJirani Chaliifrancisco. Pitia hapa
Aibu gani fafanua mkuuUmezaliwa Arusha lakini umeshindwa kuieleza vizuri mpaka nimeona Aibu mimi.
Kila mtu atasifia kwao bana kwahiyo muache chalii atambe. Ila wanaodiss ni haters tu, mara nyingi wivu ndio unawasumbua.Jirani Chaliifrancisco. Pitia hapa
OggKila mtu atasifia kwao bana kwahiyo muache chalii atambe. Ila wanaodiss ni haters tu, mara nyingi wivu ndio unawasumbua.
Karibu hakuna joto,njoo tunywe k vant,tukichanjaa mirungi badae tukachukue kitu cha olkokola mokoUpweke unanitamanisha kurudi Arusha.
Gomba nimeachaKaribu hakuna joto,njoo tunywe k vant,tukichanjaa mirungi badae tukachukue kitu cha olkokola moko
Kitu cha vudee,gizaGomba nimeacha
Kwani lazima uandike kama unapiga blow job ndio uonekane unatokea ArushaUliishi pande zipi aisee,sema ujakazaa mangii
Sio hivyo master nachoandika ndo navyozungumzaga dailyKwani lazima uandike kama unapiga blow job ndio uonekane unatokea Arusha
Kwani lazima uandike kama unapiga blow job ndio uonekane unatokea Arusha
Kumbe unapajua mrina?mademu wa pale wanakuambia niletee gamba nitakupa badae mbususaUtakuwa kibaka wa Unga Ltd au unazuzuliwa na malaya wa mrina na chivas
Sema soweto pamekuwa Pakishua sana,nakumbuka nilikuwa na kodisha baiskeli kwa godi pale tangila maji naenda kula round soweto,nichoka nacheza basketArusha pazuri na watu wanapambana sana. Kufanya biashara Arusha inabidi uwe na akili nyingi sana plus UBABE kimtindo. Kuna wapuuzi wachache wanaofanya Arusha ionekane ni ya wavuta bangi na mambo mengine ya kishenzi. Kitu ambacho ninamiss sana Arusha ni zile promotion za Sprite ambazo zinakuwa na mashindano ya vijana ku-rap. Nilikuwa nainjoi sana pale uwanja wa Basketball Soweto. Jinsi madogo wa Arusha wanavyorap ni tofauti kabisa na Dar. Kwa mpenzi wa Hiphop utafurahia sana ukiwa Arusha.
Fanya ivyo basi mkuu.Olkokola moko
Best cooker? Umemdhalilisha mamako. Umetumia pesa zake bure shuleni.My mother is best cooker
Sijamdharirisha mama yangu,Mama yangu ni jiko katupika vinzuri ndo maana hakuna shoga kwetu,au wewe umeelewaje?vice versa is trueBest cooker? Umemdhalilisha mamako. Umetumia pesa zake bure shuleni.
Enaboishu.sanawari, ilboru, mianzi, sakina, kijenge, sekei