ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

Arusha pazuri na watu wanapambana sana. Kufanya biashara Arusha inabidi uwe na akili nyingi sana plus UBABE kimtindo. Kuna wapuuzi wachache wanaofanya Arusha ionekane ni ya wavuta bangi na mambo mengine ya kishenzi. Kitu ambacho ninamiss sana Arusha ni zile promotion za Sprite ambazo zinakuwa na mashindano ya vijana ku-rap. Nilikuwa nainjoi sana pale uwanja wa Basketball Soweto. Jinsi madogo wa Arusha wanavyorap ni tofauti kabisa na Dar. Kwa mpenzi wa Hiphop utafurahia sana ukiwa Arusha.
 
images (8).jpeg

Hapa ni wapi??
 
Arusha pazuri na watu wanapambana sana. Kufanya biashara Arusha inabidi uwe na akili nyingi sana plus UBABE kimtindo. Kuna wapuuzi wachache wanaofanya Arusha ionekane ni ya wavuta bangi na mambo mengine ya kishenzi. Kitu ambacho ninamiss sana Arusha ni zile promotion za Sprite ambazo zinakuwa na mashindano ya vijana ku-rap. Nilikuwa nainjoi sana pale uwanja wa Basketball Soweto. Jinsi madogo wa Arusha wanavyorap ni tofauti kabisa na Dar. Kwa mpenzi wa Hiphop utafurahia sana ukiwa Arusha.
Sema soweto pamekuwa Pakishua sana,nakumbuka nilikuwa na kodisha baiskeli kwa godi pale tangila maji naenda kula round soweto,nichoka nacheza basket
 
Back
Top Bottom