Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Aisee naukubali San huu mji najopanga kurejee sas nimechoka utumwani eti dsm nyokooo acha nirudi om tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
om ndiyo kiswahili gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee naukubali San huu mji najopanga kurejee sas nimechoka utumwani eti dsm nyokooo acha nirudi om tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukipita dar nikama umepita University, sasa arusha ndo unaenda kutumia elimu uliyopata darAisee naukubali San huu mji najopanga kurejee sas nimechoka utumwani eti dsm nyokooo acha nirudi om tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huko kote ulipotaja mashoga kibaoHakuna kama arusha kivipi?, sometimes huwa mnawaza nini aise? Mbona watu wa dar, mwanza, dom and zanzibar hawako hivyo!! Ni mashkolo au?
Ukiwa tayari nitumie linkNakusudia kuaanzisha Uzi wa Arusha tu wananjamii forum yeyote anayetokeo pande hzo ndio tutakutana kujadili mamb kadha kadha ya mkoa wetu pendwa kbsa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kanisani hapo, NSSF mafao house.View attachment 2364911
Hapa ni wapi??
Achana na watoto wa mabibo wasiojua hewa maeneo mazuriWaambie
OyooooooooOyooooooooo Arushaaa Arusha
Arusha
Wacha makelele na matusi
mji gani nchi hii kama Arusha.
Tunapishana na Wawatiiiiii wanapenda marasi arifuuuu
Maji masafii toka Mlima meru yanapita njee kwanguu wapi ntapata hewa swafiii Nchiii hii
Kama sio Arushaaaaaaaaaa arushaaaa
Pigaaaa keleeeee
Safi sana mkuu,ndo maana watu wanaotoka mwanza na arusha ni wagumu sananimezunguka sana tanzania hii na mpaka sasa naendelea kuizunguka. nimefika ktk main urban cities za kila mikoa, last few weeks nilikuwa hapo arusha.sikumbuki ni mara ngapi nimefika arusha maana ni mara nyingi sana.
ktk miji yote niliyofanikiwa kufika, kwangu jiji la mwanza ndio top-notch. napapenda sana mwanza. navutiwa zaidi na urahisi wa upatikani wa vyakula. ile weather na landscape feature ya jiji la mwanza inanivutia sana,
navutiwa na ubora wake wa nyumba za kupanga za jiji la mwanza. ukipata nyumba ambayo kwa mwezi utalipa $128 ambayo ni sawa tsh300000, kiubora hiyo ni nyumba ya maaana sana, full funished. kwa bei hiyohiyo arusha, utapata nyumba ya hadhi ya kawaida sana.
i have been planning to make mwanza my second home after i retire.
picha ya google map hapa chini inaonyesha baadhi ya mikoa/sehemu ambazo nimefika ndani tz.
View attachment 2364932
Hiyo ndo nembo ya arusha huwezi ondoa goldOyoooooooo
Ingawa Babu maji ya meru yanaozesha meno sana sijui mmpeta solution
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kero Sana kwangu sipendi hyo Hali mabint wanakosa confidence kbsaa kisa meno kuozaaHiyo ndo nembo ya arusha huwezi ondoa gold
You block the phantom ahahaaaa...He who has not traveled widely thinks that his mother is the best cook.
Siku hizi yanasafishwa yanakuwa meupeKero Sana kwangu sipendi hyo Hali mabint wanakosa confidence kbsaa kisa meno kuozaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kumbe naww unatokea pende hzo nikajuwa mzramo fln hv anayependa kujiita. ChaliiiKanisani hapo, NSSF mafao house.
Washamba hao watu wa wapi kwani?View attachment 2364911
Hapa ni wapi??
Hakuna,kuna siku nilikuwa pale bondeni akapita jamaa mmoja amejifunika kanga kichwani,watu wakaanza shoga hilo shoga hilo jamaa si akakimbia kujiojoa,kuna mtu alitoka dukani kabeba chupa akampiga jamaa ya kichwa,hilo shoga likahamka likawa linakimbia kuelekea sokoni bahati nzuri kulikuwa na gari la police linafanya Doria jamaa ndo akaponea chupu chupu,siwezi nikasema hakuna mashoga kwa ujumla sema yana jificha hotelinidasa sehemu kama ungalimited ndani ndani shoga litaishi vipiKwahiyo arusha hakuna mashoga?
Ndugu unataka ligi???Chalii haujui hata matumizi ya H....wazungu wanakuelewa kweli?
Chugastan.united stateWashamba hao watu wa wapi kwani?