Labda kama huwajui, wakwere, wazaramo na watu wa pwani. Hapo ndipo makao makuu ya fitna husda, ubaya, uchawi. Ila wao kuongea ya wenzao sasa.Nime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama huwajui, wakwere, wazaramo na watu wa pwani. Hapo ndipo makao makuu ya fitna husda, ubaya, uchawi. Ila wao kuongea ya wenzao sasa.Nime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Hutakaa uelewe hata ungerudishwa shule. Ongezea na ubishi.Sijamdharirisha mama yangu,Mama yangu ni jiko katupika vinzuri ndo maana hakuna shoga kwetu,au wewe umeelewaje?vice versa is true
Enaboishu walikuwa wanavaa sare za shule kama edmund rice sinon sasa mgomvii ukitokea kwenye mpira hawajui wewe ni wa shule gani maana sare zinafana aEnaboishu.
Hao watu wachawi kinoma,juzi nimekuta shangaa mlangoni kwanguLabda kama huwajui, wakwere, wazaramo na watu wa pwani. Hapo ndipo makao makuu ya fitna husda, ubaya, uchawi. Ila wao kuongea ya wenzao sasa.
Sasa sielewi nini hapo?Hutakaa uelewe hata ungerudishwa shule. Ongezea na ubishi.
John makini hajambo chaliiMm ni mzaliwa wa chuga tena daraja mbili nimekaa chuga sana kwa hali ya hewa nakubalj ila maisha ni magumu
Watu wa Arusha wakarimu????? Acha kudanganya watu wewe, yamkini utakua ni mtoto mtoto sanaHakuna sehemu kama Arusha, hali ya hewa safi, wakazi wa arusha wakarimu sana, pesa inapatikana ukijituma utapata,watu wa arusha wajanja, wazungu kwetu washikaji zetu.
Natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu,mwingi wa rehema mwenye kutukuka,uliyekuwepo toka mwanzo na utakuwepo mpka milele.
Nimezaliwa arusha enzi zile na nikakulia arusha,nikasoma sanawari primary school,sec nikasoma Edmunds rice sinon school,chuo nikasoma mwika college of tourism,pia nimesoma sakina institute of information technology, kwa kipindi chote hicho nilichilokulia Arusha naweza nikasema hakuna sehemu panzuri kama arusha,na feel proud kuzaliwa A.town(Geneva of East africa), maisha ya arusha sio magumu kama watu wanavyosema,kama unauhakika wakupata doo kila siku utahama arusha,watu wa kule wapiga business kweli kama utajichanganya vyema utakosa doo, ukitaka kufanikiwa arusha fanya biashara hiii.
Tafuta viatu vya mtumba mkali, jeans kali makoti makali,shati dog dog og kabisa,makobasi ya maana fungua goli lako maeneo kama sanawari, ilboru, mianzi, sakina, kijenge, sekei na maeneo yaliochangamka.
Watu wa arusha wanapenda kuvaa vinzuri,kama unajua ngeli jichanganye kwenye utalii utajuta hata siku moja.
View attachment 2364815
View attachment 2364816
View attachment 2364817
View attachment 2364818
View attachment 2364819
Sio kelele arusha panzuriMkishapiga cha Arusha mnaanza kelele
Wewe uliishi wapi arushaWatu wa Arusha wakarimu????? Acha kudanganya watu wewe
Sasa hivi nipo mabibo(nit) jitegemee Street,kesho nitalihamsha moro mkamba,silali chalianguu na saka doo
Kusepanitalihamsha ndio kiswahili gani hicho?
Arusha yote kwa ujumlakuanzia usa,majain ya chai,mto wa mbuu,ngulelo,tengeru,sekei,sanawari,kupanda ilboru,mianzini kushuka bondeni,kijenge,ungalimited,moshono,sakina ,mbauda,sinoni,ngusero,uswahilini,mate jo,levolosi,,kote huko ni full ogg
35Watu wa Arusha wakarimu????? Acha kudanganya watu wewe, yamkini utakua ni mtoto mtoto sana
WaambieOyooooooooo Arushaaa Arusha
Arusha
Wacha makelele mji gani kama Arusha
Maji masafii toka Mlima meru yanapita njee wanguu wapi ntapata news swafiii Nchiii hii
Kama sio Arushaaaaaaaaaa arushaaaa
Pichaa keleeeee
View attachment 2364911
Hapa ni wapi??
Pia ngaramtoni kuna nyumba kali sana ukija sakina ndo usisemeUzunguni ni poa sana na kule highland nkoaranga nilipenda
Ile kitu mbona ogg sana,ndo maana hakuna kama arusha