ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

Chalii hamjiamini kwa sana na hamna exposure mko very conservatively...mnapenda battle sana na kijioverrate kiuhalisia sio kweli hamna wajanja ila wapuuzi tu wengi manguap machafu Makoti makubwa Tena ya mtumba ambayo kweny special occasion huwezi kuenda nayo nilifika hapo kwa kweli kila kijana ninae muona amekaa kama mwizi na hpo stendi jamaa wametinga wananuka bia .

Videmu shobo kibao wananiuliza maswali ili niongee wanapenda lafudhi kama ya kipemba , kiuhalisia kumepoa Sana hamna maajabu hela ngumu
 
Chalii hamjiamini kwa sana na hamna exposure mko very conservatively...mnapenda battle sana na kijioverrate kiuhalisia sio kweli hamna wajanja ila wapuuzi tu wengi manguap machafu Makoti makubwa Tena ya mtumba ambayo kweny special occasion huwezi kuenda nayo nilifika hapo kwa kweli kila kijana ninae muona amekaa kama mwizi na hpo stendi jamaa wametinga wananuka bia .

Videmu shobo kibao wananiuliza maswali ili niongee wanapenda lafudhi kama ya kipemba , kiuhalisia kumepoa Sana hamna maajabu hela ngumu
Jomba ushawahi zama mgodini??au basi mla urojo mpembaaa,ndugu yako mkojaniii??
 
Kwa wanaojua vaa vinzuri hapa bongo wanatokea arusha,hivi kwa wasanii kuna msanii anamzido dogo janja kuvaa
Toa ujinga wako hapa!! Miguu kama miwa hana pozi za nguo na zile ni swagga za special sio mitumba kashakuwa mstaarabu angalia watu wanabody za nguo sio mshamba huyo hafikii hata nusu ya jux,angalia vijana chipukizi ukivaa Yale matambaa yenu ya mitumba dogo janja alishaacha kitambo aliona ni ushamba
 
Watu wanavaa ogg sijui kwanini unielewi
images (10).jpeg
 
Sasa wewe mbona comments zako zinatufanya tuonekane Arusha ni kwa wavuta bangi? Sio lazima usifie bangi ili uonekane mjanja. Arusha ni ya watu wastaarabu na sio ya wavuta bangi.
Ndo tatizo kubwa la ngozi nyeusi,hii kitu sio inakufanya uwe chizi,weed is natural,imetoka kwa Mungu,weed is medicine kwa wenye vidonda vya tumbo,cancer magonjwa ya mifupa,kama upati choo vinzuri,matatizo yote ya tumbo,napenda bangi inanifanya na ishi maisha ya amani sana,na kuwa ukweli kwa kila kitu,mimi sio wale wanavuta bangi na kujifanya wahuni,napenda natural things weed safi sana
 
Back
Top Bottom