ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

Sehemu pekee ambayo bado kuna ushamba wa kuvuta bangi barabarani ni lemara kati, na matejoo, na kingine ni hospitality, arusha usitegemee kupata huduma uliyoipata Mwanza, dar, au moro, huku, hata ukiingia hotelini unahudumiwa kibabe, mimi ni A-towner halisi, nime zaliwa kijenge chini, nikakulia maghorofa ya makao mapya karibu na tca,enzi hizo tunapaita Melini, nimesoma ngarenaro,levolosi, arusha sec, nime piga mbishe zote za kimsingi hapo hapo Town, tuache propaganda za kishamba, arusha ina safari ndefu kufikia ustaarabu wa dunia ya Leo, bado sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nadhani hujatembea wewe,dar vitoto vinavuta bangi barabarani ,huku manzese, mabibo,buguruni mpaka vitoto vya kike dada unachokisema kuhusu bangi ukielewi umekaririshwa
 
Unauliza asili ya masai katahiriwa wapi???au huoni dada zako wanachapwa fimbo na wamasai wanaowasuka mpaka wanakimbia ndoa zao

Kwahiyo wewe umezaliwa na kukulia kijijini/porini huko, ukaenda arusha kushangaa shangaa vigorofa na kutuletea feedback eti!! 🤣🤣 basi sawa
 
Leo hali ya hewa safi sana,nipo hapa big boom nakunywa zangu k vant
 
Hakuna sehemu kama Arusha, hali ya hewa safi, wakazi wa arusha wakarimu sana, pesa inapatikana ukijituma utapata,watu wa arusha wajanja, wazungu kwetu washikaji zetu.

Natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu,mwingi wa rehema mwenye kutukuka,uliyekuwepo toka mwanzo na utakuwepo mpka milele.

Nimezaliwa arusha enzi zile na nikakulia arusha,nikasoma sanawari primary school,sec nikasoma Edmunds rice sinon school,chuo nikasoma mwika college of tourism,pia nimesoma sakina institute of information technology, kwa kipindi chote hicho nilichilokulia Arusha naweza nikasema hakuna sehemu panzuri kama arusha,na feel proud kuzaliwa A.town(Geneva of East africa), maisha ya arusha sio magumu kama watu wanavyosema,kama unauhakika wakupata doo kila siku utahama arusha,watu wa kule wapiga business kweli kama utajichanganya vyema utakosa doo, ukitaka kufanikiwa arusha fanya biashara hiii.

Tafuta viatu vya mtumba mkali, jeans kali makoti makali,shati dog dog og kabisa,makobasi ya maana fungua goli lako maeneo kama sanawari, ilboru, mianzi, sakina, kijenge, sekei na maeneo yaliochangamka.

Watu wa arusha wanapenda kuvaa vinzuri,kama unajua ngeli jichanganye kwenye utalii utajuta hata siku moja.

View attachment 2364815

View attachment 2364816

View attachment 2364817

View attachment 2364818

View attachment 2364819
Arusha kuna vumbi tifutifu sio mchezo...ukikanyaga tu mguu linatibuka!
 
Jinsi arusha wanavyoizungumzia na ukifika arusha yenyewe sasa

Ndio utaamini bangi imewaathiri kwa kiwango kikubwa sana

Nasubiri battle la arusha na Dubai city 🤣🤣 sijui huwa wanawaza nini sometimes, hawaoni aibu!!! Mwingine utamsikia oh arusha ni zaidi ya mwanza 🤣🤣 acha wajifurahishe tu, tumewazoea
 
Unatakiwa uandike kwamba "my mother is the best cook" kijana wa Arusha lugha inakusumbua...hahahaha...🤣🤣🤣🤣
Wewe hapo hujaelewa,nadhani,kingereza kimepanuka sio kama kiswahili,nachomaanisha hapo mama yangu ni jiko,na kazi ya jiko ni kupika chakula,mama yangu namfananisha na jiko katupika vinzuri(katulea vinzuri) ndo maana kwetu hakuna shoga,sasa wewe ulidhani nitamuita mama yangu mpishi??mpishi anapika vyakula vitamu na visivyo vitamu soo mama yangu ni zaidi ya hilo jiko analotimia huyo mpishi,nachoongelea hapo ni lugha ya picha usiwe unakurupuka kwa usichokijua naona umevamia mtumbwi wa vibengo,sasa wewe unajua lugha gani??
 
Wewe hapo hujaelewa,nadhani,kingereza kimepanuka sio kama kiswahili,nachomaanisha hapo mama yangu ni jiko,na kazi ya jiko ni kupika chakula,mama yangu namfananisha na jiko katupika vinzuri(katulea vinzuri) ndo maana kwetu hakuna shoga,sasa wewe ulidhani nitamuita mama yangu mpishi??mpishi anapika vyakula vitamu na visivyo vitamu soo mama yangu ni zaidi ya hilo jiko analotimia huyo mpishi,nachoongelea hapo ni lugha ya picha usiwe unakurupuka kwa usichokijua naona umevamia mtumbwi wa vibengo,sasa wewe unajua lugha gani??
Tunaenda mbele na tunarudi nyuma hata kama ulikua unatumia figure of speech..hakuna kitu kama "my mother is the best cooker" kutokujua lugha ndo kumekufanya udhani unaweza weka statement au sentensi ya aina hio kwa maelezo yako uliyoyaweka sentensi iliosahihi kwa lugha ya kiingereza ni "my mother is the best cook" hata kama umemaanisha kuwapika vizuri kitabia au kiblaah blaaah zingine...kaaa humo...kijana wa Arusha lugha inakupa tabu sio...🤣🤣🤣🤣
 
Tunaenda mbele na tunarudi nyuma hata kama ulikua unatumia figure of speech..hakuna kitu kama "my mother is the best cooker" kutokujua lugha ndo kumekufanya udhani unaweza weka statement au sentensi ya aina hio kwa maelezo yako uliyoyaweka sentensi iliosahihi kwa lugha ya kiingereza ni "my mother is the best cook" hata kama umemaanisha kuwapika vizuri kitabia au kiblaah blaaah zingine...kaaa humo...kijana wa Arusha lugha inakupa tabu sio...🤣🤣🤣🤣
Maybe wewe unajua lugha,sidhani unaijua lugha kama mimi navyojua,nachoona hapa anataka kujifanya tu
 
Back
Top Bottom