ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

Hapo ukisoma kwa makini. Hiyo kesi wote watatu wana makosa pauline ana makosa, polisi ana makosa na marehemu pia ana makosa. Hata kama ni nyie mngekua ndo huyo polisi ni lazima mngejihami tu. Sasa kama marehemu angemkata kweri hilo panga? Ilikua ni lazima ajihami. Mim ndo maana sitokuja kuoa. Tena habari kama hizi ndo zinanikata moto kabisa.
 
Hapo ukisoma kwa makini. Hiyo kesi wote watatu wana makosa pauline ana makosa, polisi ana makosa na marehemu pia ana makosa. Hata kama ni nyie mngekua ndo huyo polisi ni lazima mngejihami tu. Sasa kama marehemu angemkata kweri hilo panga? Ilikua ni lazima ajihami. Mim ndo maana sitokuja kuoa. Tena habari kama hizi ndo zinanikata moto kabisa.
Tatizo la askari ni kwenda kwenye tukio huku akijua ana mgongano wa maslahi (kama ni kweli).
 
Huyo marehemu alijua ni mapolisi na wana silaha yet, akanuia kumpiga panga??
Sasa kawaachia gepu full kujivinjari.
Apumzike alikojiandalia
Wanawake ni wengi duniani unaweza kuwapata hata kwa mafungu ukitaka.

Everyday is Saturday................................😎
Mkuu na hali halisi ni kuwa hata kama polisi alikuwa anachepuka na huyo mke wa mtu ataanza kumkwepa sasa baada ya kuwa mjane. Sijui hili jambo huwa lina siri gani lakini mara nyingi mwanamke ''anapendeka'' anapokuwa kwenye ndoa lakini mara akiachika wanaume wanaanza kumpiga chenga.
 
Mkuu na hali halisi ni kuwa hata kama polisi alikuwa anachepuka na huyo mke wa mtu ataanza kumkwepa sasa baada ya kuwa mjane. Sijui hili jambo huwa lina siri gani lakini mara nyingi mwanamke ''anapendeka'' anapokuwa kwenye ndoa lakini mara akiachika wanaume wanaanza kumpiga chenga.
Mtamu akiwa naye wa kumpa ugali.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mkuu na hali halisi ni kuwa hata kama polisi alikuwa anachepuka na huyo mke wa mtu ataanza kumkwepa sasa baada ya kuwa mjane. Sijui hili jambo huwa lina siri gani lakini mara nyingi mwanamke ''anapendeka'' anapokuwa kwenye ndoa lakini mara akiachika wanaume wanaanza kumpiga chenga.
Umeongea point mzee baba
 
Polisi walitumia nguvu nyingi.
Hata kama marehemu alikuwa na panga Askari angempiga risasi miguuni siyo sehemu nyingine.
 
Polisi wa kituo cha Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wanadaiwa kumpiga risasi raia aliyetambuliwa kwa jina la Yohana Nasieli kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi kati ya mke wa marehemu na askari polisi.

Habari kutoka kwa ndugu na majirani wa marehemu zilisema kuwa tukio hilo limetokea aprill 12 mwaka huu majira ya saa 1.35 usiku katika mtaa wa sabasaba kata ya Monduli Tarafa ya Kisongo wilayani humo.

Vyanzo vilisema kuwa siku ya tukio ya marehemu alikuwana ugomvi na mke wake, Paulina Kiliani{37} na kumlalamikia mke wake kuwa sio mwaminifu katika ndoa akimtuhumu kuwa na mahusiano na askari polisi aliyefanya mauaji {jina linahifadhiwa} kuwa ndio mvunja ndoa yake.

Vyanzo vya habari viliendelea kusema kuwa siku ya mauaji marehemu na mke wake walikuwa na ugomvi mkubwa na kufikia hatua ya kupigana na mke alimpigia simu ya kiganjani askari polisi huyo na kumwelezea kupigwa kwake na mume wake na askari huyo akiwa na mwenza wakiwa na silaha walikwenda eneo la tukio.

Habari zilisema kuwa baada ya marehemu kumwona askari yule yule anayemtuhumu kufanya mapenzi na mke wake akiwa wa kwanza kufika eneo la tukio,marehemu kwa hasira huku akiongea kwa jazba kuwa wewe ndio niliyekuwa nakutafuta ghafla aliingia ndani ya nyumba yake na kuchukua panga kwa nia ya kumtishia askari huyo akiwa na mwenzake ili aondoke eneo la tukio.

Vyanzo vilisema kuwa kabla ya marehemu kufanya tukio la kutaka kumkata Askari huyo,ghafla askari huyo alifyatua risasi na kumpiga marehemu kifuani kushoto na mguuni na kufariki dunia papo hapo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo alithibitisha tukio hilo kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo imesema kuwa NASIELI alijeruhiwa kwa risasi upande wa kushoto wa mguu na kwenye bega la mkono wa kushoto baada ya kukaidi amri halali ya askari Polisi ya kukamatwa na kutaka kumkata askari panga alilokuwa nalo mkononi mwake.

Kamanda aliendelea kueleza katika taarifa yake kuwa marehemu alikuwa amewafungia watoto wake na mtoto wa jirani yake ndani ya nyumba kwania ya kuwadhuru na baada ya kutoa taarifa askari waliamua kwenda eneo la tukio kwa nia ya kuwaokoa watoto lakini pia kumkamata mtuhumiwa.

Taarifa ilisema baada ya kufika eneo la tukio walianza kugonga mlango uliokuwa umefungwa ili kuokoa watoto waliokuwa hatarini wakati wanaokoa watoto hao nje ya nyumba hiyo walimwona mtuhumiwa huyo akiwa amejificha akiwa ameshika panga Mkononi huku akiwa fuata askari hao kwa lengo la kuwadhuru.

Alisema baada ya hali hiyo ndipo alipoamua kumpiga risasi kwenye bega lake la kushoto hali iliyosababisha kuvuja damu nyingi na kisha kupelekwa katika hospital ya wilaya ya Monduli na mtuhumiwa huyo alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu.

Ends...

Hahahaha hapa waliooa wangejifanya ukitembea na Mke wa mtu sumu...
Oooh utafanywa vibayaaa...
Ona Sasa Mwenye Mke kawahia kafa yeye...
Wengine wangekuambia oooh kutembea na Mke wa Mtu andaa na Mafuta
Jamaaa kachukua Bastola kabisa kwenda Kumaliza Kazi!
Ona Sasa ataendelea kutafuna tuu
 
bora kuachana tu ikiwa hamuelewani.

Hili ndio neno Mkuu
Sio wengine Ohhh nikikuta Anatembea na Mke wangu aandae na Mafuta sijui...
Ona mwenzenu kafa tayari...
Haya Mambo hayana Fomula ujue...
Mwanamke mtu mzima unamteteaje?
Kafanya Kitu akijua
 
Kesi imegeuzwa U turn.
na Muda si mrefu, ndoa ya Afande mpiga risasi Na Paulina mke halali wa Marehemu itakuwa hewani.
Ila laana itaambatana nao hakika.
 
Kesi itakuwa ya mauaji pasipo kukusudia.
 
Kama ni kweli alikuwa anataka kuwakata na panga hapo ni wazi hiyo ni kesi ya mauaji pasipo kukuudia wakati mtu anashambuliwa
Tayari polisi wamepindisha kesi kumlinda mwenzao na kesi ya mauaji. This world is not fair
 
Bro Mke anauma

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa uzoefu wangu njia nzuri kabisa ya kutatua matatizo kama haya ya mwenza wako kudanga ni kuachana naye haraka iwezekavyo wakati ukiwa kwenye mood nzuri. Hebu fikiria jamaa anatembea na mke wako halafu siku unagombana na mke wako pengine amekutukana mbele ya watu, jamaa ndiyo anakuja kukuweka chini ya ulinzi. Ni wanaume wengi wanaweza kujizuia kwenye hali kama hii. Ilitakiwa amtimue tangu mwanzo aende kuishi na huyo anayempa kiburi.
 
Back
Top Bottom