Figo ya nguruwe imeonesha muelekeo mzuriMiaka 20 badae biashara ya kufungua kituo cha kufanyia dialysis italipa sna , ebu tuangalie upumbavu wa wengne kwa jicho la kifursa zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Figo ya nguruwe imeonesha muelekeo mzuriMiaka 20 badae biashara ya kufungua kituo cha kufanyia dialysis italipa sna , ebu tuangalie upumbavu wa wengne kwa jicho la kifursa zaidi.
Hatari sana hiyo pombeHii ni aina mpya ya pombe ambayo kwa sasa inapatikana jijini hapa, katika baadhi ya maeneo haswa yenye mkusanyiko wa watu wengi.
Aina hii ya pombe haijulikani mchanganyiko wake unatokana na nini na wala haina nembo yoyote yenye kuonyesha asilimia za kilevi ni ngapi.
Pombe hii husafirishwa na madumu ya lita 20 wakati wa kupeleka sokoni (madukani) na ikiwa huko hujazwa kwenye chupa ndogo zilizokwisha tumiwa pombe kwa bei ya shilingi elfu moja na elf mbili kulingana na kiasi cha ujazo.
Idadi kubwa ya watu haswa vijana wanaotumia pombe hii wananenepa sana usoni pamoja na kukosa hamu ya kula. Huku wengi wao wakiwa wakiwa hawataki kusikia habari za kuwa na familia. (kuoa au kuolewa).
Dereva bajaji mmoja aitwae Joseph anasema kwa Mara ya kwanza kunywa Pombe hiyo itwayo "Nyingi Nyingi." alikunywa ya shilingi elfu mbili na alilala siku mbili bila kuamka wala kujua Bajaji yake aliipaki wapi na tangu siku hiyo ameacha kunywa pombe hiyo.
Nae mama mmoja mkazi wa eneo la ungalimited ambapo Nyingi Nyingi hupatikana kwa wingi alisema kuwa Alikunywa pombe hiyo mara mbili na wala hana hamu nayo tena kutokana na kiwango kikubwa cha ulevi kilichopo Kwenye pombe hiyo.
Wateja wakubwa wa hii pombe ni madereva bodaboda, waokota Machupa,waokota vyuma chakavu, vijana wasiokuwa na ajira rasmi na wale wasiokuwa na ajira yoyote. na baadhi ya wanawake wanaoshinda majumbani na wafanyao shughuli ndogo ndogo,mafundi ujenzi.
🤣🤣🤣Figo ya nguruwe imeonesha muelekeo mzuri
My wetu au sio😁
Kunenepa usoni ni dalili ya figo kuzidiwa.Hii ni aina mpya ya pombe ambayo kwa sasa inapatikana jijini hapa, katika baadhi ya maeneo haswa yenye mkusanyiko wa watu wengi.
Aina hii ya pombe haijulikani mchanganyiko wake unatokana na nini na wala haina nembo yoyote yenye kuonyesha asilimia za kilevi ni ngapi.
Pombe hii husafirishwa na madumu ya lita 20 wakati wa kupeleka sokoni (madukani) na ikiwa huko hujazwa kwenye chupa ndogo zilizokwisha tumiwa pombe kwa bei ya shilingi elfu moja na elf mbili kulingana na kiasi cha ujazo.
Idadi kubwa ya watu haswa vijana wanaotumia pombe hii wananenepa sana usoni pamoja na kukosa hamu ya kula. Huku wengi wao wakiwa wakiwa hawataki kusikia habari za kuwa na familia. (kuoa au kuolewa).
Dereva bajaji mmoja aitwae Joseph anasema kwa Mara ya kwanza kunywa Pombe hiyo itwayo "Nyingi Nyingi." alikunywa ya shilingi elfu mbili na alilala siku mbili bila kuamka wala kujua Bajaji yake aliipaki wapi na tangu siku hiyo ameacha kunywa pombe hiyo.
Nae mama mmoja mkazi wa eneo la ungalimited ambapo Nyingi Nyingi hupatikana kwa wingi alisema kuwa Alikunywa pombe hiyo mara mbili na wala hana hamu nayo tena kutokana na kiwango kikubwa cha ulevi kilichopo Kwenye pombe hiyo.
Wateja wakubwa wa hii pombe ni madereva bodaboda, waokota Machupa,waokota vyuma chakavu, vijana wasiokuwa na ajira rasmi na wale wasiokuwa na ajira yoyote. na baadhi ya wanawake wanaoshinda majumbani na wafanyao shughuli ndogo ndogo,mafundi ujenzi.
Hii ni aina mpya ya pombe ambayo kwa sasa inapatikana jijini hapa, katika baadhi ya maeneo haswa yenye mkusanyiko wa watu wengi.
Aina hii ya pombe haijulikani mchanganyiko wake unatokana na nini na wala haina nembo yoyote yenye kuonyesha asilimia za kilevi ni ngapi.
Pombe hii husafirishwa na madumu ya lita 20 wakati wa kupeleka sokoni (madukani) na ikiwa huko hujazwa kwenye chupa ndogo zilizokwisha tumiwa pombe kwa bei ya shilingi elfu moja na elf mbili kulingana na kiasi cha ujazo.
Idadi kubwa ya watu haswa vijana wanaotumia pombe hii wananenepa sana usoni pamoja na kukosa hamu ya kula. Huku wengi wao wakiwa wakiwa hawataki kusikia habari za kuwa na familia. (kuoa au kuolewa).
Dereva bajaji mmoja aitwae Joseph anasema kwa Mara ya kwanza kunywa Pombe hiyo itwayo "Nyingii Nyingii." alikunywa ya shilingi elfu mbili na alilala siku mbili bila kuamka wala kujua Bajaji yake aliipaki wapi na tangu siku hiyo ameacha kunywa pombe hiyo.
Nae mama mmoja mkazi wa eneo la ungalimited ambapo Nyingi Nyingi hupatikana kwa wingi alisema kuwa Alikunywa pombe hiyo mara mbili na wala hana hamu nayo tena kutokana na kiwango kikubwa cha ulevi kilichopo Kwenye pombe hiyo.
Wateja wakubwa wa hii pombe ni madereva bodaboda, waokota Machupa,waokota vyuma chakavu, vijana wasiokuwa na ajira rasmi na wale wasiokuwa na ajira yoyote. na baadhi ya wanawake wanaoshinda majumbani na wafanyao shughuli ndogo ndogo,mafundi ujenzi.
Hao wanaovimba uso dialysis hata wakiambiwa 10000 kwa wiki hawawezi kulipia...huku uswahilini vijana wamekwisha hata nguvu ya kumpa mwanamke unyumba hazipo,mwendo kaumaliza tayariMiaka 20 badae biashara ya kufungua kituo cha kufanyia dialysis italipa sna , ebu tuangalie upumbavu wa wengne kwa jicho la kifursa zaidi.
Acha wanywe Vijana,Wana mawazo na bandari yaoHii ni aina mpya ya pombe ambayo kwa sasa inapatikana jijini hapa, katika baadhi ya maeneo haswa yenye mkusanyiko wa watu wengi.
Aina hii ya pombe haijulikani mchanganyiko wake unatokana na nini na wala haina nembo yoyote yenye kuonyesha asilimia za kilevi ni ngapi.
Pombe hii husafirishwa na madumu ya lita 20 wakati wa kupeleka sokoni (madukani) na ikiwa huko hujazwa kwenye chupa ndogo zilizokwisha tumiwa pombe kwa bei ya shilingi elfu moja na elf mbili kulingana na kiasi cha ujazo.
Idadi kubwa ya watu haswa vijana wanaotumia pombe hii wananenepa sana usoni pamoja na kukosa hamu ya kula. Huku wengi wao wakiwa wakiwa hawataki kusikia habari za kuwa na familia. (kuoa au kuolewa).
Dereva bajaji mmoja aitwae Joseph anasema kwa Mara ya kwanza kunywa Pombe hiyo itwayo "Nyingii Nyingii." alikunywa ya shilingi elfu mbili na alilala siku mbili bila kuamka wala kujua Bajaji yake aliipaki wapi na tangu siku hiyo ameacha kunywa pombe hiyo.
Nae mama mmoja mkazi wa eneo la ungalimited ambapo Nyingi Nyingi hupatikana kwa wingi alisema kuwa Alikunywa pombe hiyo mara mbili na wala hana hamu nayo tena kutokana na kiwango kikubwa cha ulevi kilichopo Kwenye pombe hiyo.
Wateja wakubwa wa hii pombe ni madereva bodaboda, waokota Machupa,waokota vyuma chakavu, vijana wasiokuwa na ajira rasmi na wale wasiokuwa na ajira yoyote. na baadhi ya wanawake wanaoshinda majumbani na wafanyao shughuli ndogo ndogo,mafundi ujenzi.
Tanzania hakuna Madini??Duh!